Bora Uchebe ana garage ina jina lake.Hahahahah unataka kusema Hana tofauti na UCHEBE[emoji1][emoji14]
HahahahBora Uchebe ana garage ina jina lake.
Yule jamaa kitu pekee anamiliki ndani anakolala na Restiy ni leseni ya gari na kadi ya kuchangia damu labda.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hadi calculation za pichaHiyo resty ndio anashikilia record ya picha nyingi instagram kuliko mtu yoyote hapa TZ.
Sehemu moja anaweza kupiga na kupost picha zaidi ya 20, hata hao followers wake kazi wanayo.
Akiamka kuna picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kuoga pia picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kunywa chai hivyohivyo.
Ana picha alizopost IG jumla ya 32000
Kaanza kupost 2014, hivyo ni miaka 6 sasa. Mwaka una siku 366
366 × 6 = 2196
Ukichukua 32000 ÷ 2196 = 14.5
Hivyo kwa siku anapost picha 14.5 instagram, hapo unaweza kuta anazopiga kwa siku ni 50 ili achague za kuweka. Na mpigaji picha ni mwanaume
Hakuna mwanaume anayependa hii kitu, jamaa hana namna tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]kwahyo kakumbatia makabati lake c.c@ExtrovertTutawakera sana mwaka huu hapa jfView attachment 1655833
Fwala sanaUnatuuliza ni nani wakati unajua sehemu zote anzotembelea na vitega uchumi vyake.
Hadi bwanaake unamjua 😄
HahahhahahahhahahahahahahahahaHiyo resty ndio anashikilia record ya picha nyingi instagram kuliko mtu yoyote hapa TZ.
Sehemu moja anaweza kupiga na kupost picha zaidi ya 20, hata hao followers wake kazi wanayo.
Akiamka kuna picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kuoga pia picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kunywa chai hivyohivyo.
Ana picha alizopost IG jumla ya 32000
Kaanza kupost 2014, hivyo ni miaka 6 sasa. Mwaka una siku 366
366 × 6 = 2196
Ukichukua 32000 ÷ 2196 = 14.5
Hivyo kwa siku anapost picha 14.5 instagram, hapo unaweza kuta anazopiga kwa siku ni 50 ili achague za kuweka. Na mpigaji picha ni mwanaume
Hakuna mwanaume anayependa hii kitu, jamaa hana namna tu.
Ila wewe ni mbeya[emoji23][emoji23][emoji23]kwahyo kakumbatia makabati lake c.c@Extrovert
[emoji23][emoji23][emoji23] umbeya unasogeza mda sio siku nzima tu mtu uko busy na kaxi Kuna mda pia wa ku relaxIla wewe ni mbeya
Yule msanii tuHalafu haelewek Mara mlokole Mara yupo na bia
[emoji13][emoji13][emoji13]we jamaaWamachame tunajisikia unyonge kwa yanayoendelea
So far this is my best comment ever exist [emoji3]Hiyo resty ndio anashikilia record ya picha nyingi instagram kuliko mtu yoyote hapa TZ.
Sehemu moja anaweza kupiga na kupost picha zaidi ya 20, hata hao followers wake kazi wanayo.
Akiamka kuna picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kuoga pia picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kunywa chai hivyohivyo.
Ana picha alizopost IG jumla ya 32000
Kaanza kupost 2014, hivyo ni miaka 6 sasa. Mwaka una siku 366
366 × 6 = 2196
Ukichukua 32000 ÷ 2196 = 14.5
Hivyo kwa siku anapost picha 14.5 instagram, hapo unaweza kuta anazopiga kwa siku ni 50 ili achague za kuweka. Na mpigaji picha ni mwanaume
Hakuna mwanaume anayependa hii kitu, jamaa hana namna tu.
Only In TanzaniaDada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.
Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.
Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.
Jamani huyu ni Nani haswa?
[emoji2][emoji2]Sijui kwanini nimependa kujua jinsia yako ingawa najua haitanisaidia kitu [emoji4]