[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ofisi za CPA sio, unajua CPA ni nini haswa?
Ila kinge hiki, acha tu [emoji3][emoji3][emoji3]
HuyU anachokonoa kitu, halafu kaandika ki vaisivesa fulaniiiimbona maelezo umeshayatoa mwenyewe alafu unatuuliza tena sisi?
MariooHuyU anachokonoa kitu, halafu kaandika ki vaisivesa fulaniiii
.
Za chini ya kapetiiii, we naee.
Hiyo ni Profile ya Brela.
Sa anataka profile ya Ada estate
Yani kapungua Sana yule dada kadhoofu, Mungu amsaidie
Yule kupungua sio diet ana shida mumewe hashikiki kabisa huyo dada alikunywa Hadi sumu. Hyo ya diet ni kudaganya maboya ya insta wapigwe helaJamaniii si tuliambiwa anatumia diet kupunguza mwili[emoji28][emoji28]
Mpaka anauza garnicia sijui za kupungua
Yule mmewe lazima kampunguza kilo
Mume ana micheps mpaka vinini vya kizungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndoa hizi hataree
Ee Mungu wangu, huyu huyu Rest?? Na malavidavi yote yalee??Yule kupungua sio diet ana shida mumewe hashikiki kabisa huyo dada alikunywa Hadi sumu. Hyo ya diet ni kudaganya maboya ya insta wapigwe hela
Mbona kama anawapost sana watt wawili.pekee kumbe ana wtt watatu?Ile ni nyumba ya mwanaume aliyezaa nae mtoto wake wa kwanza,mwanaume alikuwa amefungwa na ametoka na kuichukua ile nyumba,maana aliicha kwake kwa ajili ya kumsaidia mtoto
Unapenda ndefu ndefu eeh"Ki ba [emoji817] on fleek'[emoji16][emoji16][emoji23] kuna mdada alisema hivi humu
Watu wanabar zinauza kreti 20 kwa siku plus chakula ila hawana bata la huyo dada anaemiliki kibarKama hilo bata ni jasho lake...namtakia kila lililo jema na kumpongeza. Kila mtu atakula kwa jasho (lake?)
Ingawa kwa miaka yangu michache hapa bongo..ukisikia watu wanakula bata..kuwa makini..kuna mengi yako nyuma ya pazia. Kuna mmoja alikuwa anatwambia anapasua vibubu na kuhamasisha akina dada waweke vibubu..leo hii yupo segerea kwa kujihusisha na unga. wengi wanapenda kuishi fake life ya ujanja ujanja.
Again huyu dada mimi simtuhumu ila naweka angalizo tuu. watu msikate tamaa au kujiona mnafeli Maisha kwa sababu hamna uwezo wa kifedha kama huo. Ishi na ridhika na kile kidogo ulichonacho..huku ukiweka bidii kutafuta kikubwa Zaidi.
Kuna watu wanakula maisha mpaka wewe unajiona bwege..unajiuliza mjini unafanya nini au unafeli wapi…...kumbe ukiangalia kwa undani..kuna mengi.
MmhHuyo hapo
View attachment 1662447
Hapa anayeongelewa kupungua ni dada wa rest. Rest mwenyewe naona dawa za kupunguza unene zimemgomea 🏃🏃 anataka kulingana na tank la Lita 2000🏃🏃😅😅Jamaniii si tuliambiwa anatumia diet kupunguza mwili[emoji28][emoji28]
Mpaka anauza garnicia sijui za kupungua
Yule mmewe lazima kampunguza kilo
Mume ana micheps mpaka vinini vya kizungu 🤣🤣🤣🤣🤣ndoa hizi hataree
Hapa anayeongelewa kupungua nindada wa rest. Rest mwenyewe naona dawa za kupunguza unene zimemgomea [emoji125][emoji125] anataka kulingana na tank la Lita 2000[emoji125][emoji125][emoji28][emoji28]
OkayUnamaanisha Kweka?If yes,yy si ndo meneja sasa wa hizo mishemishe huku akiendelea kuufukuzia uwakili.hahahah eti mbeba pochii mwachen Kweka ainjoy matunda ya ndoa bana[emoji23]