Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 510
- 3,178
Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm nasemaga hapa amesingiziwa. Hapa ni chukiHili nafikiri wanamsingizia.
Resty kamaliza zanaki O level na kuingia IFM certificate.
Na kumaliza degree.
Sasa yule labda kama alizaa kabla hajasoma Zanaki.
Lakini tukumbuke Zanaki ni shule ya serikali enzi zile ukiingia ni umemaliza direct darasa la saba.
Umekomalia wa kichagaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787],Ukiendekeza mwanamke especially hawa wanaokuwa na vimiradi na account yenye pesa benki hautaweza kufanya maendeleo yako personal. Wengi wa hawa wanawake anakupa mental retardation uwe retard kiume.
Sasa watoto wa kiume wa kichagga wanapenda sana hii..... Kulelewa wengi ndio maana siku hizi wana maisha ya kindezi sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Resty kajiachia tu. Amemzaa lini yule binti kwa umri huo kuwe na siri hivyo? Huyo si wakeHata mimi kwa kweli hili namtetea.
Labda tumpate mtu alisoma nae primary.
Na kwa kusoma Zanaki means alisoma primary Dar.
Mana zanaki olevel haina bweni.
Anyways sijui.
Sema hakuna live humu[emoji23][emoji23][emoji23]Heeeeh kumbe nae yumo humu lol. Sikua najua hili mie.
Alivyokuwa shule alikuwa kisu zaidi hakuwa na mwili mkubwa Kama 🐘🐘.Ila yule sista mzuri bhana sema ule unene na lile tumbo[emoji1]
Ila mzee mchache Ni legend
Utakua ushamfikia tuAngekuwa mjanja angesoma huu uzi
Umeona sasa, muda utasema...Huyu resty Kuna siku recho aalimchamba kuwa pumba wa shkuba
Maduve maduve hahahahahahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?
Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimeshtuka et kumbe nae yumo humu, uwiiiiiiiiihSema hakuna live humu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ungeshaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka km mwehu lolMama mkwe (tena Mchaga) akipewa bia zake kadhaa na misimbazi kadhaa na Bibie kwisha habari.
Yaani hili wamemsingizia kweupeHata mimi kwa kweli hili namtetea.
Labda tumpate mtu alisoma nae primary.
Na kwa kusoma Zanaki means alisoma primary Dar.
Mana zanaki olevel haina bweni.
Anyways sijui.
Humu mastaa wote unao wajua wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nimeshtuka et kumbe nae yumo humu, uwiiiiiiiiih
Mange hajawahi kumkana mtoto wake wa kwanza ni vile tu haishi nae....tofauti na Resti anadai ana watoto wawili wakati anao watatu na huyo mkubwa anaishi nae ila amemuweka tofauti unaweza sema beki 3Basi huyo na mange wanafanana [emoji1]
Wamemsingizia.Hata mimi kwa kweli hili namtetea.
Labda tumpate mtu alisoma nae primary.
Na kwa kusoma Zanaki means alisoma primary Dar.
Mana zanaki olevel haina bweni.
Anyways sijui.
Kuna baadhi najua wako humu, Vanessa, fa, ay, Nikki wa 2, roma, etcHumu mastaa wote unao wajua wako