Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?

Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye lazima tumjadili maana anawapa chachu ya maendeleo Wanawake wenzake,, tumjue je ni kweli yale anayoonyesha mitandaoni anavyoishi??? Ili kusudi wamama wenzie wakifata nyayo zake na wenyewe watusue maisha Kama yeye. Ile ghorofa ya diamond sio mchezo[emoji13][emoji13][emoji13]
Well said mkuu. Unaweza kuta ni muuza madawa. Na bongo kuna pimbi wengi mno (including 😬) waliishi kwa kuhadaa watu kusema eti ni biashara kumbe ni dawa
 
Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.

Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.

Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.

Jamani huyu ni Nani haswa?
"alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi"
Being there for awhile and i had no idea ni asset ya huyo mama,nj kweli mkuu?
Btw you know' her better than most of us here
 
"alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi"
Being there for awhile and i had no idea ni asset ya huyo mama,nj kweli mkuu?
Btw you know' her better than most of us here
Ghorofa la mwanaume aliyezaa na resty mtoto mkubwa
 
Back
Top Bottom