miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23] kariibu mbe. Karibu moshiii. Dudhodwee[emoji23][emoji23]Kure mwandu ku..tarehe 23 ngisha fo,dushela mburu mshiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] kariibu mbe. Karibu moshiii. Dudhodwee[emoji23][emoji23]Kure mwandu ku..tarehe 23 ngisha fo,dushela mburu mshiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I do not want a husband who kisses my black as* every second of the day.
Hata kama hana ajira lakini siyo kila saa ndo nionekane mimi baba mwenye nyumba. Yaan resty ndo anaonekana kamanda wa mjengo of which ndo ilivyo. Sasa uanaume wa mume wangu utakua wapi. Kwanza ningeolewa na mwanaume wa hivyo ningemchapa makofi kila siku[emoji23][emoji23] janaume gani. Hivi wamachame wa kweka ndo mumeamua muruangushe kilimanjaro nzima kweli? Hebu hii Christmas aitwe nyumbani mara moja apewe lesson. Huu ujinga hapaaanaaa. Pooooooh mbakaaaaaaaa.... kumpost public tu hata boyfriend kwangu kazi ndo kila saa awe kaniganda hivi?
Kweka wemanya makofi maduve maduve.
Eheeee mbeeeee. Ni msukwaaaaaa shuhashu[emoji23][emoji23]
Chief! Naona unamuanika mke wako kifalaKaniamulia.resty ni rafiki wa mke wangu niliyemuoa, hivyo namjua sababu wife anapenda kumzungumzia.walisoma wote zanaki hivyo huwa unamzungumzia kuwa form 2 tayari resty alikuwa anatembea na vigogo
hii kitu nimeigundua piaUbaya wa hili jukwaa.
Ukiona tu kawekwa mtu, ujue watu kazini.
bia zina faida weweKwa zile bata, sidhani narudia sidhani kama ni faida ya kuuza bia na kitimoto
Mkalya mburu yo mkape na picha[emoji23][emoji23]Kure mwandu ku..tarehe 23 ngisha fo,dushela mburu mshiki
Well said mkuu. Unaweza kuta ni muuza madawa. Na bongo kuna pimbi wengi mno (including 😬) waliishi kwa kuhadaa watu kusema eti ni biashara kumbe ni dawaYeye lazima tumjadili maana anawapa chachu ya maendeleo Wanawake wenzake,, tumjue je ni kweli yale anayoonyesha mitandaoni anavyoishi??? Ili kusudi wamama wenzie wakifata nyayo zake na wenyewe watusue maisha Kama yeye. Ile ghorofa ya diamond sio mchezo[emoji13][emoji13][emoji13]
msisahau na mbege
kure mwandu ku mmeku
Alya Shia bar usho??. kwa mwarabu kuleshoka fbaya kabsa..
Nahani kaumbeke taba mwaneduAlya Shia bar usho??. kwa mwarabu kuleshoka fbaya kabsa..
"alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi"Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.
Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.
Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.
Jamani huyu ni Nani haswa?
[emoji23][emoji23][emoji23] ila kinyaiya siyo wa marangu? Maana najua wa marangu ndo wazee wa slopeHuko machame kaka zenu wanatisha kwa kulelewa,jeni muro,ben kinyainya,kweka,wengine tuko nao huku arusha
[emoji23][emoji23][emoji23] ushe shimbi uweeee...
Vahave wa mashadi nau?[emoji23]
Shimbi kati au ya masho???[emoji23][emoji23][emoji23] ushe shimbi uweeee...
Ghorofa la mwanaume aliyezaa na resty mtoto mkubwa"alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi"
Being there for awhile and i had no idea ni asset ya huyo mama,nj kweli mkuu?
Btw you know' her better than most of us here
Ooh, basi najuaga maranguNi machame moja hiyo,group yake machame walikua watatu na wote wanalelewa