cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Wapenda umbeya ndo tunakoma sasaKatulia mnooo now, daaah umbea hakna lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapenda umbeya ndo tunakoma sasaKatulia mnooo now, daaah umbea hakna lol
Naelewa vzuriKama vile umeelewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mange ndo alidaganya umri wake na yeye kumbe ni vetenarySiyo mkubwa. Ni tipwa tipwa tuu. Na hv kajiachia. Age yetu late 80's. Mange mkubwa jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbali na kubeba mapochi Massawe hujishughulisha na nn?Siyo mkubwa. Ni tipwa tipwa tuu. Na hv kajiachia. Age yetu late 80's. Mange mkubwa jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Anammsugua vizuri Rest wakeMbali na kubeba mapochi Massawe hujishughulisha na nn?
Yaaan tunakoma had baas, ubuyu hauko hewan. [emoji23][emoji23][emoji23]Wapenda umbeya ndo tunakoma sasa
Naweka taarifa sawa. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio Mwanae.amu unalifahamu hili?
Kwahiyo wataka Sema yule binti Kama housegirl Ni mwanae?..makubwa haya
Naweka taarifa sawa. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio MwanaeWatoto watatu sio wawili mkubwa alimzaaga kabla ya sosho midia ila ndo anamuweka nyumanyuma kama HG na saa nyingine anasema sio wake ila ndo first born
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Naweka taarifa sawa. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio MwanaeNilisikia yule ni wake Ila kwanini alikuwa ana mu treat ka house gelo, tangu achambwe sikuhizi hamu post tena, Ila yule mtoto mkubwa alimzaa na umri gani maana resty ni wa tisini na yule mtoto ni mkubwa
Hata mimi naona hvo aiseeNaweka taarifa sawa. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio Mwanae
Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio MwanaeWa tisini? Hapana yule dada hata ukimuona live mkubwa bana..kama sio 85 basi 87
Nimeitwa na Familia kuja kujibu Maswali yenu. Mtoto Mkubwa sio wake.Oooh ndo yule namuonaga anamficha ficha kuumbe, afu ni mdada mkubwa tu
Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio Mwanae. Nipo hapa kwa niaba ya familia.Hili nafikiri wanamsingizia.
Resty kamaliza zanaki O level na kuingia IFM certificate.
Na kumaliza degree.
Sasa yule labda kama alizaa kabla hajasoma Zanaki.
Lakini tukumbuke Zanaki ni shule ya serikali enzi zile ukiingia ni umemaliza direct darasa la saba.
Niko hapa naomba niulizwe. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio MwanaeHata mimi kwa kweli hili namtetea.
Labda tumpate mtu alisoma nae primary.
Na kwa kusoma Zanaki means alisoma primary Dar.
Mana zanaki olevel haina bweni.
Anyways sijui.
mtoto mkubwa ni kweli sio MwanaeMange hajawahi kumkana mtoto wake wa kwanza ni vile tu haishi nae....tofauti na Resti anadai ana watoto wawili wakati anao watatu na huyo mkubwa anaishi nae ila amemuweka tofauti unaweza sema beki 3
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]eti umeitwa na familia kujibu maswali, halafu ni lini mumewe ataacha kumfata fata resty huko nyuma ka mkia wa mbwa?Nimeitwa na Familia kuja kujibu Maswali yenu. Mtoto Mkubwa sio wake.
Kukata mauno uzaziMbali na kubeba mapochi Massawe hujishughulisha na nn?
Mumewe siku atakayogundua hakuna document yenye Jina lake ataacha kumfata fata mkewe. Kuhusu kufeli Law School ngoja nipitie taarifa vzr[emoji23][emoji23][emoji23]eti umeitwa na familia kujibu maswali, halafu ni lini mumewe ataacha kumfata fata resty huko nyuma ka mkia wa mbwa?
Swali la pili huyo kweka ni kweli alifeli law school, pia anazalilisha wanaume wa kichagga na December hii watamuweka kikao
Ahsante kwa ufafanuzi ndugu mjumbeNiko hapa naomba niulizwe. Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio Mwanae
Familia inafuatilia huu umbea hapa[emoji849]Rest Yule mtoto mkubwa ni kweli sio Mwanae. Nipo hapa kwa niaba ya familia.