Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Nakwambia yuuuule hamna kituuuuuu

Resti angetuwekea hata shati tu jeupe na suruali nyeusi na zile tie zao

Akaweka caption
"Preparing hubbie for work,
#mradvocatedailyroutine#
Saaaaasa mpk tunakuja mitamboni hakuna cha uwakili wala uhakimu yule ni chawa tu kama chawa wengine.
Nimesoma comment zote ila hii imenichekesha.....
 
Dada/mama huyu amekuwa maarufu Sana kwenye mitandao ya kijamii Kama mfanyabiashara maarufu wa chakula na vinywaji, pia vipodozi.

Wakati fulani alimkodishia Diamond Platnamz ghorofa lake zuri sana ambalo ndio ofisi za Wasafi. Anaonekana ni very successful businesswoman, tajiri mkubwa haswa ukiiangalia namna anavyospend na mume wake mpenzi. Mara yupo Dubai, mara visiwa vya Malves, saizi yupo mbugani for wedding anniversary.

Kila weekend yupo kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt akipata raha.

Jamani huyu ni nani haswa?
Hana picha huyo bi dada? Tupostie picha zake akiwa mtupu tu ama kavaa bikini akiwa mahotelini au Beach.
 
Hiyo resty ndio anashikilia record ya picha nyingi instagram kuliko mtu yoyote hapa TZ.
Sehemu moja anaweza kupiga na kupost picha zaidi ya 20, hata hao followers wake kazi wanayo.
Akiamka kuna picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kuoga pia picha 5 zitapigwa na kupostiwa, akienda kunywa chai hivyohivyo.
Ana picha alizopost IG jumla ya 32000
Kaanza kupost 2014, hivyo ni miaka 6 sasa. Mwaka una siku 366
366 × 6 = 2196
Ukichukua 32000 ÷ 2196 = 14.5
Hivyo kwa siku anapost picha 14.5 instagram, hapo unaweza kuta anazopiga kwa siku ni 50 ili achague za kuweka. Na mpigaji picha ni mwanaume
Hakuna mwanaume anayependa hii kitu, jamaa hana namna tu.
Mkuu umeamua ku'solve equation kabisa.😀
 
Buahaaaahaaaa eti ofisi za CPA zipo wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki humu jf[emoji119][emoji119][emoji119]

Duh nanyi malimbukeni kweli! Au sio waswahili nyie? Ningeandika where are your CPA offices ndio mngeelewa zaidi.

Ndio nimeuliza kama yeye na Mrs wake ni CPA, office zao zipo wapi?
 
Mimi nimeshaoa , nina watoto wawili now.nikae niongope napata nini, sitaki hela ya mtu, sitaki mchepuko maana mke wangu mzuri sana tu, nikae niongope ili iweje?

Mwanaume kamili na rijali hawezi na hathutbutu kuleta habari za familia yake kwenye baraza la mtandaoni. Ulivyo na akili fupi umeweza kumtaja 'mkeo', profession na mali. Ningeendelea kukuuliza sijui ungetuma na picha kabisa ili ueleweke kwamba unamjua vizuri Resty?
 
Mwanaume kamili na rijali hawezi na hathutbutu kuleta habari za familia yake kwenye baraza la mtandaoni. Ulivyo na akili fupi umeweza kumtaja 'mkeo', profession na mali. Nnngeendelea kukuuliza sijui ungetuma na picha kabisa ili uekeweke kwamva unamjua vizuri Resty?
Nimekuelewa boss, enjoy your day
 
Back
Top Bottom