Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rest nili pambanaji ila nadhani Kuna ka bangi anavuta kinachofanya apost kila jambo na kycheka cheka
She is sick na umaarufu toka mtoto hana haya yulee hata kidogo Luna mambo anaweza Fanya ukiambiwa kwa akili ya kawaida huwezi wazaa umaarufu mbaya Sana'a!!!.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rest nili pambanaji ila nadhani Kuna ka bangi anavuta kinachofanya apost kila jambo na kycheka cheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliwaza hivyo pia, lol.
 
SIMTANK jamanii. Mangi ajipange IPO siku atachezea makofi Kama Nuhu Mziwanda.
**Ajitahidi awe na Plan B mwanamke mwenye pesa kuliko mume ana mihemko kama Pombe ya kienyeji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anaelekea kuwehuka aisee anayo fanya Hadi wajiuliza mzima kweli huyu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anacheka km kichaa kaona jalala, naonaga shida mie, hayuko tumamu yule wallah.
 
Pata gari kwa 2m TZS tu

BK336401_6b85e2.jpg
 
Back
Top Bottom