Nawapenda wote nuru ya bwana iwaangazie mpate kufahamu iliyokweli. Tupo pamoja kipindi hiki kuelekea uchaguzi, maamuzi yetu yawe sahihi kwenye kibox cha kupigia kura!
amani ya bwana iwatangulie
Rev Masa
Nawapenda wote nuru ya bwana iwaangazie mpate kufahamu iliyokweli. Tupo pamoja kipindi hiki kuelekea uchaguzi, maamuzi yetu yawe sahihi kwenye kibox cha kupigia kura!
amani ya bwana iwatangulie
Rev Masa
Mkuu hivi neno Rev linamanisha nini vile?......Ebwana hongera sana.Nawapenda wote nuru ya bwana iwaangazie mpate kufahamu iliyokweli. Tupo pamoja kipindi hiki kuelekea uchaguzi, maamuzi yetu yawe sahihi kwenye kibox cha kupigia kura!
amani ya bwana iwatangulie
Rev Masa
Nawapenda wote nuru ya bwana iwaangazie mpate kufahamu iliyokweli. Tupo pamoja kipindi hiki kuelekea uchaguzi, maamuzi yetu yawe sahihi kwenye kibox cha kupigia kura!
amani ya bwana iwatangulie
Rev Masa
Mzee mwenzangu unataka kujiunga Zanzibar Modern Taarab?Mkuu tuko pamoja kama tIGO na poor customer service... Nitahakikisha natumia kura yangu vizuri sana
Kama bible ilivyo wazi... neno wisdom limetumika mara nyingi kuliko wokovu, hivyo basi natumainia zaidi wisdom kipindi hiki kuliko wanaoulizia avatar
Masanilo kwahiyo tutambue rasmi umeacha 'kijikoki na Tigo' na kuwaachia wakina Fidel80? halafu kuna yule shori mwenye mgongo mzuri na gauni jekundu nimepata contacts zake sasa itakuwaje nawe umeshakuwa Rev.?
Itakuwa ushahamia chadema wewe...hujasema wazi tu...!
OH Alelujah I see the days of Eliyah and Juda nw. Hakika Mungu ametenda miujiza
Hebu vaa nguo basi na uache kukojoa ovyo!