Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
he, sasa unataka kumchapa makofi tena?
Mshangilie Bwana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he, sasa unataka kumchapa makofi tena?
Mshangilie Bwana....
Heavenly Father, I humbly come before You today. I declare that You are good and faithful. I will sing of Your love and mercy. Fill me with Your strength and joy as I worship You.
vipi mtumishi sadaka za chenjichenji unapokea au?
mpangalio wa ukaaji kanisani ukoje,makabwela utatusweka nyuma mbele uwaweke wenye kutoa sadaka nono.
nauliza tu mtumishi ili nikija chechi kwako nisijekiuka utaratibu bila kujua ukaniona mpinga jehova bure.
Kule kwenye mambo ya kikubwa watu watakosa mchango wako uliotukuka, au Rev utaendelea kumwaga vitu?
Nitakuwa napita pita ili wale kondoo waliohamishia majeshi huko niwarejeshe kundini!
Nitakuwa napita pita ili wale kondoo waliohamishia majeshi huko niwarejeshe kundini!
Baba mchungaji, kuna watu fulani ukiwatoa kule nitajua kweli una upako.Nitakuwa napita pita ili wale kondoo waliohamishia majeshi huko niwarejeshe kundini!
Baba mchungaji, kuna watu fulani ukiwatoa kule nitajua kweli una upako.
.Kijana niko kwenye mafungo, hili nalo litaombewa! Jina la Muumba ni kubwa hakuna kushindwa