Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Migogoro ya maslahi tu
Mtoto wa Askofu Mkuu Barnabas Mtokambali si ndio aliyemuoa Mtoto wa Askofu Lazaro mwanzilishi wa T.A.G na kufunga harusi kubwa sana ya kifahari? 🤣
 
Tena wanawapenda sana, ogopa mtu aliyeshika dini halafu akawa kwenye vyombo vya usalama. Anaona kama vile mambo anayofanya ni sehemu ya Ibada 😂😂😂. Akimuona Mdude anaona ni kama shetani lucifer kabisa
Hahaaaaaa so anamng'oa meno tu bila ganzi.
 
Back
Top Bottom