Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Ni TAG wale kwa pastor huruma nkone na English yake ya kuungaunga 😃VCCT nao ni TAG?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni TAG wale kwa pastor huruma nkone na English yake ya kuungaunga 😃VCCT nao ni TAG?
Mtoto wa Askofu Mkuu Barnabas Mtokambali si ndio aliyemuoa Mtoto wa Askofu Lazaro mwanzilishi wa T.A.G na kufunga harusi kubwa sana ya kifahari? 🤣Migogoro ya maslahi tu
NI kweli TAG na EAGT wapo TISS wengi mno, na ni Walokole ndioKumbe TISS ni walokole!
Architect yule kuhusu kiingereza sijui me namjua kipind tunasoma wote Ardhi UniversityNi TAG wale kwa pastor huruma nkone na English yake ya kuungaunga 😃
Ana Mahubiri Ya Kutobembeleza MuuminiNakusikitikia utakufa vibaya wewe...!😄😄😄
666 ni mwili wako mwanadamuPesa ndo 666 iliyotabiriwa na imefanikiwa kulivuruga kanisa duniani.
Hahaaaaaa so anamng'oa meno tu bila ganzi.Tena wanawapenda sana, ogopa mtu aliyeshika dini halafu akawa kwenye vyombo vya usalama. Anaona kama vile mambo anayofanya ni sehemu ya Ibada 😂😂😂. Akimuona Mdude anaona ni kama shetani lucifer kabisa