Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Nimeisikiliza hii vizuri sana. Uongozi wa TAG umejibu vizuri sana. Nimemsikia pia mwanae Maghembe akitukana TAG. Madai ya Maghembe kuchangisha michango ya kanisa la mwanaye ndani ya madhabahu ya TAG yamenistua sana. Tuwe na muda wa kusikiliza pande zote
Msikilize na Maghembe mwenyewe then utapata hitimisho jema lisilo na mawaa
 
Msikilize na Maghembe mwenyewe then utapata hitimisho jema lisilo na mawaa
Maghembe na mwanaye niliwasikiliza kabla ya TAG. Nimehitimisha kwamba Maghembe alikuwa na ajenda.

Ni kama familia yake ilichukuliwa uchungaji kama ajira. Mwanaye anasema walitathmini watanufaika vipi na nguvu anayowekeza baba yao TAG Majumbasita ikiwa baba yao hatakuwepo. Ukiwa objective unaona hiki ndio chanzo cha yote. Hayo mengine ni hoja anazotaka kujifichia tu. Ndio maana hata kwenye nyaraka zake anasema "kunyanyaswa" ndio chanzo.

Amekiri kuyaambia makanisa kwamba yamekufa. Hizo ni lugha za kisiasa. Mwanaye Maghembe ametukana TAG kwamba ni wapuuzi na washenzi, umesikia baba yake akikemea mwanaye?

Wametajwa kutumia TAG kukusanya michango ya hilo kanisa lao. Kimazingira hilo linawezekana. Umesikia wakikanusha hilo?
 
Maghembe na mwanaye niliwasikiliza kabla ya TAG. Nimehitimisha kwamba Maghembe alikuwa na ajenda.

Ni kama familia yake ilichukuliwa uchungaji kama ajira. Mwanaye anasema walitathmini watanufaika vipi na nguvu anayowekeza baba yao TAG Majumbasita ikiwa baba yao hatakuwepo. Ukiwa objective unaona hiki ndio chanzo cha yote. Hayo mengine ni hoja anazotaka kujifichia tu. Ndio maana hata kwenye nyaraka zake anasema "kunyanyaswa" ndio chanzo.

Amekiri kuyaambia makanisa kwamba yamekufa. Hizo ni lugha za kisiasa. Mwanaye Maghembe ametukana TAG kwamba ni wapuuzi na washenzi, umesikia baba yake akikemea mwanaye?

Wametajwa kutumia TAG kukusanya michango ya hilo kanisa lao. Kimazingira hilo linawezekana. Umesikia wakikanusha hilo?
Hapana sijaya sikia haya yote. Jana Maghembe alikuja na hoja zake tano na ya kwanza ni uamsho.

Nadhani inatosha kuyazungumzia haya.
Ahsante kwa yale uliyonijuza kutoka kwa mtoto wake.
 
Hapana sijaya sikia haya yote. Jana Maghembe alikuja na hoja zake tano na ya kwanza ni uamsho.

Nadhani inatosha kuyazungumzia haya.
Ahsante kwa yale uliyonijuza kutoka kwa mtoto wake.
Kitu nimejifunza hapa ni hii huduma ya injili inaonekana kulipa sana. Mchungaji anapokuwa maarufu return ya uwekezaji inakuwa maradufu. Sasa kanisa likibaki kuwa chini ya jimbo mchungaji anaona kama anawachumia wengine. Maana siku asipokiwepo au kuamua kuacha huduma mali za kanisa ataiacha, hiyo ni kwa mujibu wa katiba
 
Mchungaji mwenye msimamo mkali inapokuja suala la kumtumikia Mungu aliye hai Rev. Moses Maghembe ameamua kujiondoa kuwa chini ya usimamizi wa kanisa la mahali pamoja laTanzania Assemblies of God T.A.G

Kama ilivyokuwa kwa wajina wa Maghembe, alikuwepo Moses Kulola ambaye alijitenga na T.A.G na kuanzisha E.A.G.T kwa kutokukubaliana na baadhi ya misingi ya kanisa haswa inapokuja suala la kumtumikia Mungu ipasavyo. Wengi tunafahamu uhodari wa Moses Kulola na huduma yake katika kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.

Rev. Maghembe ndiye mchungaji pekee alikuwa na uthubutu wa kukosoa uongozi wa askofu Mkuu wa kanisa la T.A.G Dr. Barnabas Mtokambali. Alikosoa kitendo cha kanisa la kiroho kutoa tuzo ya amani kwa mwendazake wakati matukio ya mauaji yalikuwa juu.

Pia alikosoa waziwazi maadhimisho ya chama cha vijana ndani ya kanisa C.A.S yaliyofanyika Iringa kwa kufanya bonanza la mpira wa miguu. Maghembe alidai ile siyo njia ya kuhubiri injili ila ni kuishiwa kwa maono na kanisa kuanza kuiga mambo ya kidunia, kanisa linatakiwa kuleta athari duniani na siyo dunia ilete athari kanisani

Kuwa na ministry binafsi au kuwa chini ya uongozi. Wewe uko upande gani?

View attachment 3180718
Mwendo ni ule ule tuu
Screenshot_20241223-064248.jpg
 
Nilichogundua ni hichi.....
1. TAG kilokole ni kama imekufa! (Hivyo mahubiri ya Maghembe yalikuwa ni mwiba mchungu kwa viongozi na waumini wa TAG)

2. TAG ni shamba la marehemu bibi (Maghembe ametumia hiyo nafasi kutengeneza jukwaa la kuanzisha dhehebu lake, na wahubiri wengi wa TAG baada ya kupata umaarufu walichomoka na kijiji cha waumini wa TAG kwenda kuanzisha madhehebu yao)

3. Mfumo wa TAG umekaa kinyonyaji kwa wahubiri wake. (Wahubiri wake wanatumika kulikuza dhehebu la TAG, lakini mwisho wa siku watatupwa pembeni na wengine watakula mema na kutafuna kama keki)
 
UKISIKIA TU KITU KINAITWA DHEHEBU WEWE JUA HIYO NI NYUMBA YA IBADA YA IBILISI SHETANI ... SHETANI NDIYO MMILIKI WA MADHEHEBU YOTE ULIMWENGUNI
😳😳 Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!?? Umesemaaaaaaa!?? 🥺🥺 Sijakusikiaaaaaa!!!???
 
Kanisa la T.A.G hujiona wako sahihi kwa kila kitu na kujihesabia haki. Hata wakisahihishwa wanaona wamekosewa
Kula chuma hicho.....
 

Attachments

  • AQMaqwCXoJvLzgLfupnvRtuv2TvM1MAnn1hYYRsA4jfY4YamcmXzMH0b10wo8YuiDWpiun06yB47IFsV2n85Wcbv.mp4
    10.7 MB
show mercy usipokuwa na huruma hata na wanyama kuku mbuz binadamu unamwaga damu muda wote nan aliekuambia ufalme wa Mungu utakaa kwa wauaji ? karma wewe endelea kuua ? ujue utauawa iwe kuku ungefunguliwa macho ukaona waliokuwa wanaua wanachinja wanyama wako wap usingesema
Wako wapi mkuu, tusaidie kidogo
 
Back
Top Bottom