Prime Minister insisted that delayed disbursement of the constituency funds should not be taken as a sign of financial problems. “There are priority areas; but I assure all MPs that the money will be issued in due course.”
From 0.9 to 1.4 T ni ongezeko kubwa. Kijana serikali haijaribiwi. Nenda katetemeke huko bukoba
hata hiyo habari umeielewa kweli au unaota kama ndugu yako Lema kwamba uchumi utaanguka....Ngoja nikusaidie kidogoAnguko ni kubwa tena linatisha baada ya miezi 3 kuanzia sasa uchumi utaanguka balaaa,nasubiri kuona jinsi serikali itakavyowaangukia wafanyabiashara sijui wataanzia wapi aibu inakuja soon,kumbe figure Tra wanayotanga kila mwisho wa mwezi ilikuwa fix? Actually nilikuwa najua tu kuwa sio kweli wanajidanganya wenyewe na siku si nyingi wataaibika,
Hivi umeelewa hiyo report kweli naona uchumi lingekuwa somo la lazima kuanzia shule ya msingiTRA wao huvuna malengo kila mwezi based on arrears sasa hawana namna wanarudi enzi za mapato ya JK hope kejeli dhidi ya JK zitakwisha sasa.
Narudia tena Uchumi liwe somo la lazima....Ukisoma uchumi topic ya kwanza kabisa ni Choice and scale of preference....Scarcity and Economic problems.....hakuna hata siku moja utaacha kuwa na economic problems ambazo kutatua lazima ufanye choice hii yote ni kwa sababu wants are unlimited....umeelewa...tatizo wengi mkakimbilia kusoma HKL mnaona mnavyotupa shida kuwaaelewesha...mtaani wanaosema hawapati ajira za ualimu wamesoma HKL/HGK wakati mashuleni walimu wa hayo masomo wamejaa, unakuta shule moja inawalimu wa History 40 wakati wanafunzi ni 200 shule nzima, walimu kama hawa watasota tu mtaanAache uongo na ulaghai wa mchana huyu bwana. When you start prioritizing (fanya hili kwanza na acha hili, japo la muhimu pia) means you are showing signs of financial problems. Kwanza hizo "priority areas" zao ni zipi? Kulipa mishahara kwanza?
Hao unaowataja maonibyao ndiyo yapo kwenye budget na mioango inayotekelezwa na ndiyo iliyotufikisha hapaThen mbn hujachukua maoni ya Wengine? Umechukua ya Mdee na Waitara tuu!! [emoji45] [emoji45]
Vp khusu Kina Kangi Lugola, Ally Kesi, Bashe, Lusinde na nk!??
Lugha itawasumbua sana akina Lizaboni, Stroke, Ruttashobolwa, jingalao, Lupyeee, Stroke and the like! Lakini kama wangekuwa wanaielewa hii lugha leo ungewatambua yaani unaleta habari za kichochezi kama hii?Kwenye habari kama hii huwa hawasogei.
Tulishayasema sana haya mambo lakini wenzetu masikio wametia pamba.Narudia tena Uchumi liwe somo la lazima....Ukisoma uchumi topic ya kwanza kabisa ni Choice and scale of preference....Scarcity and Economic problems.....hakuna hata siku moja utaacha kuwa na economic problems ambazo kutatua lazima ufanye choice hii yote ni kwa sababu wants are unlimited....umeelewa...tatizo wengi mkakimbilia kusoma HKL mnaona mnavyotupa shida kuwaaelewesha...mtaani wanaosema hawapati ajira za ualimu wamesoma HKL/HGK wakati mashuleni walimu wa hayo masomo wamejaa, unakuta shule moja inawalimu wa History 40 wakati wanafunzi ni 200 shule nzima, walimu kama hawa watasota tu mtaan
Nimemsikia Samia Suluhu yuko Mwanza anawaambia Halmashauri wakusanye kodi ili wajitosheleze na wasitegemee ruzuku toka Serkali kuu! Ni kitu ambacho hakitawezekana.
Wajue wants and needs pamoja na opportunity cost wakati wa kufanya choice. Ni sawa na kujenga barabara ya Mwenge hadi Morocco unaacha madaraja kule Kilosa Morogoro. Kazi ipoNarudia tena Uchumi liwe somo la lazima....Ukisoma uchumi topic ya kwanza kabisa ni Choice and scale of preference....Scarcity and Economic problems.....hakuna hata siku moja utaacha kuwa na economic problems ambazo kutatua lazima ufanye choice hii yote ni kwa sababu wants are unlimited....umeelewa...tatizo wengi mkakimbilia kusoma HKL mnaona mnavyotupa shida kuwaaelewesha...mtaani wanaosema hawapati ajira za ualimu wamesoma HKL/HGK wakati mashuleni walimu wa hayo masomo wamejaa, unakuta shule moja inawalimu wa History 40 wakati wanafunzi ni 200 shule nzima, walimu kama hawa watasota tu mtaan
Ndiyo maana tuko humu Jf mjomba , hapa ndio tunatengeneza base , where something heavy can stand .Haya kaubadili.
Ndiyo maana tuko humu Jf mjomba , hapa ndio tunatengeneza base , where something heavy can stand .
sasa ukweli unaanza kuonekana,waimba mapambio watatwambia tunatokaje hapa,kwa push up au roof ya gariConcerns are rising as development projects are being underfunded and revenue collection is falling.
In Summary
A Bank of Tanzania (BoT) report has established that the government released only Sh387 billion for development projects, down from Sh824.4 billion it planned for disbursement in September.
Deogratius Kamagi @Deogratiuskamagi dkamagi@tz.nationmedia.com
Dar es Salaam. Concerns are rising as development projects are being underfunded and revenue collection is falling.
A Bank of Tanzania (BoT) report has established that the government released only Sh387 billion for development projects, down from Sh824.4 billion it planned for disbursement in September.
BoT’s October 2016 economic review also showed that the government missed its domestic revenue collection target by 16 per cent in the month.
Only Sh82.2 billion of non-income revenue was collected, down from the projected Sh225.7 billion during the period.
The collection income tax target of Sh573.6 billion was missed by 10 per cent. Foreign-financed projects got only Sh100.6 billion instead of the targeted Sh993.6 billion.
The report has shown that the Central Government collected 84.3 per cent of the planned Sh1.3 trillion.
Sh41.2 billion against the target of Sh55.5 billion was collected from Local Government sources.
Grants received were less by Sh400.9 billion. Taxes on imports were Sh27.8 billion below the target.
The goal was also missed in income tax by Sh55.8 billion
Finance and Planning minister Philip Mpango was not immediately available to comment on the trend yesterday. But Mzumbe University economics professor Prosper Ngowi said the decline in revenue has been attributed by the government’s cutting-cost measures.
He said the government would have spent the collected money to stimulate the economy. “It is not healthy to spend below the collected revenue. This reduces the value of money into the circulation. We don’t have to cut costs even for the approved budget.”
Prof Ngowi said failure to return the money collected from economic activities into the circulation through government expenditure would lead to the shrinkage of sources of income that would eventually affect the government itself.
Recently Shadow Finance minister Halima Mdee told Parliament that the government was broke as it has failed to finance even its priority areas.
The Kawe legislator on a Chadema ticket said in her alternative budget framework for 2017/18 that the government had failed even to act on its key priority area of building an industrial based economy. She noted that since the first quarter of 2016 the government had failed to disburse even a single cent out of the Sh40 billion development budget of the ministry of Industry, Trade and Investment.
Earlier, MP Mwita Waitara (Ukonga — Chadema) said if government had not run out of money why it had failed to disburse the constituency funds to all seats.
“I would use the language that our leaders want to hear, that the government is financially sound. But if that is the case, then why the money, which is purely going to development projects in constituencies is yet to be issued? We have already made promises to our voters but we can’t honour them and now they think we are liars,” said Mr Waitara.
Prime Minister Kassim Majaliwa insisted that the government was financially sound.
He insisted that delayed disbursement of the constituency funds should not be taken as a sign of financial problems. “There are priority areas; but I assure all MPs that the money will be issued in due course.”
He also said the government had started issuing funds for development projects.
Meanwhile, the BoT report indicated that the the current account deficit narrowed from $4,910.2 million in the year ending August 2015 compared with $1,912 million in the year ending August 2016. “The improvement was mostly driven by an increase in exports and a fall in imports,” said BoT.
The report indicate that imports decreased by six per cent thus allowing the country to save a lot of its foreign reserves.
“All categories of imports declined, except industrial raw materials. This is partly attributed to an exchange rate appreciation and completion of major projects, such as construction of cement factory, power plants and exploration activities,” reads part of the report.
Source: The Citizen
Haya nimekoma .Komwa kuniita mjomba mimi, nipitie mbali homo.
The biggest spender of money is the government. In the absence of substantial expenditure by the government and hence significant "multiplier effect", i.e a person's expenditure is another's income, national income is likely to suffer due to non circulation of money that would stimulate the economy.
People cannot buy if they do not have money. Tax returns cannot be filed; taxes and duties, therefore cannot be paid, and finally monthly government revenues collection is impaired as a consequence.
The above is a proven theory. It would not come as a surprise if ultimately dawns as true the claim by many that all is not well with the national economy although the minister responsible for finance has stuck to his guns in defence for the government against claims by stakeholders of mismanaging of the economy.
There are more questions regarding the porformance of national economy than the answers can sastify amid claims of rising monthly government revenue collections:
1) what has been the reason for HESL problem?
2) why Treasury under disbursement for development and recurrent funds to mdas, regions and LGAs?
3) freezing of public employees statutory salary increases?
4) non settlement of monies owed to suppliers and goverment employees, etc.
Everything is written on the wall