Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mkuu ndio dawa yao...unampa mapenzi ya kweli yeye anaona unaigiza
 
Weka screen shots... Story za shigongo hizi......
 
mimi siungi mkono hii approach bora umuache lkn sio siku hiyo waweza sababisha tatizo kubwa. tuachane lkn sio kwa kudhalilishana
 
Haaaahaaa,usikute ck hyo ndo ukaumia wew...MARA PAAP,LILE JAMAA LIMEJUWA NA LISHAJPANGA,[HASHTAG]#unachok2pa[/HASHTAG],tunakitafta.......natania kila la heri[emoji23]
 
Usisahau mrejesho mkuu,,, 7 january
 
Mh!...mkuki kwa nguruwe....

Wewe unavyokuwaga na wawili wawili unaona poa tu
 
Right, very right! Mtu akuumize then umuache aende tu kiboya, hapana. Unamfanya kitu hadi aombe poo, humpigi kimwili, unampiga kiakili hadi akae sawa.

Niko na story almost kama yako, lakini haikufikia huko kwenye mahari, ila that woman won't forget what I did to her, hata akisahau ila kwa future relationship hatorudia kuchezea mwanaume kijinga.
 
Mi yoote naona geresha tu mi nilichozingatia ni hiki!
Ulifanya mpango ukapata "password" naomba kukuuliza uliipata vipi na kwa nani?
 
Kama yuko JF jiandae kuambiwa hiyo tarehe 7 tu ahirishe.
 
Ngoja ni subscribe kwenye huu uzi na ikifika tarehe 7 nakukumbusha mrejesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…