Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mwenzenu revenge yangu n kukaa kimya nashangaa ndo hua inamuumiza my dear ex ,haishi kuniomba msamaha japo niliwah mwambia nishamsamehe na awe na Amani ...,ila naona hua haamin kama nilisamehe.
 
Kwa hiyo tar 22 jicho laenda tobolewa dah sipatii picha utakuwa kwenye hali gani ILA POLE MKUU NDO UANAUME HUO HARIBU TU ILI MUUNI AHAMIE KABISA
 
WE SUBSCRIBE USUBIRI PART 2 TUUU
 

Mmmmmh shosti mi naomba nikupe pole tena pole saaana...... bora hata angekuwa mume ila ni boyfriend mmmmh
Simaanishi umcheat bf wako hapana ......ila nahisi kama unampenda saaana !!!!!! Sasa ukigundua ndivyo sivyo si utatamani ardhi ipasuke ama ???
 
Jamaa una undugu na raisi wa N.Korea. Maana jasiri sana mkuu.
 
Najitahidigi kuota ndoto ya kuoa lkn kila siku nikiangalia upasua kichwa wa mahusiano ,naendelea kusema ubachelor ni mzr lamsingi ni kutafuta maendelea kwan hata ndugu zangu na watu baki ni tosha kikaaa Kwangu na kuweza kubadilishana mawazo kwani stress za mapenzi ni changamoto na mzigo mkubwa sna
 
Wewe ni kama mm kaka , kiufup sitotoa stori ila kuna demu naamin hatonisahau milele baada ya kunkumiza alichokipata hakuamin
 
Go..go...go...go..thats my boy
Yaan huo ndo udume haswaaaaa
 
Kwani heshima ya wanaume imeshuka???
 
Brother brother.... Kisasi???

Kwanini asimuache tuu kiroho safi?
 
Kwani heshima ya wanaume imeshuka???
imeshuka mnooo mkuu siwaona tunavyochanagnywa changanywa kama mafungu ya nyanya ya dyna'
yaani MTU anahudumiwa anapewa kila kitu lakini wapi sasa sidharau hizo
bora afanyiwe bonge sila action iliiwe fundisho kwa madada wote wenye Tania kama hizo
hata mwanaume anayechukua mke wamtu inapotokea akafumaniwa nakuliwa 0714 kisha akatangazwa mitandaoni .... Huwa inawapa hofu wanaume wengine wakware kuacha ama kupunguza hizo tabia
 
Una miaka mingapi?..kwanini mda mwingine huwa hatujiulizi huyu mtu labda niseme nae kwanza kuna kitu ana kosa unawahi revenge...ama uachane nae,hujui mapenzi kiti cha basi?.anyways unaenda kujianika umesalitiwa mhhh..?!
 
NDUGU YANGU MIMI NINA ROHO MBAYA LAKINI WEWW UNAENDA FANYA KITU CHA HATARI NA UNAWEZA PATA KESI YA KUUA MTU, KWA AIBU ATAKAYOPATA
 
Mmmmmh shosti mi naomba nikupe pole tena pole saaana...... bora hata angekuwa mume ila ni boyfriend mmmmh
Simaanishi umcheat bf wako hapana ......ila nahisi kama unampenda saaana !!!!!! Sasa ukigundua ndivyo sivyo si utatamani ardhi ipasuke ama ???
Na hicho ndicho kinacho niumwa, wacha wacha niendelee kuwa na imani mungu atasimama upande wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…