Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mshangae na weweKwani heshima ya wanaume imeshuka???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshangae na weweKwani heshima ya wanaume imeshuka???
Eli yupo sahihi namuunga mkono aiseeBrother brother.... Kisasi???
Kwanini asimuache tuu kiroho safi?
Ahangaike na Mwanaume yanini?Kama unampenda kweli mkomoe huyo jamaa sio demu wanawake ni wadhaifu panga fumanizi then umkomeshe huyo jamaa pia msaidie dada wa watu asiharibiwe na huyo jamaa
Mapenzi mabaya kupenda kubaya sana najua unafanya hivyo ila pia hilo jambo litakuuma sio mchezo utatamani usingefanya hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa nini usijipambanue wewe kujirudishia heshima ya uanaume wako kuliko kusubiri revenge ya mwanaume mwenzio kuanza kushadadia unatia aibu kinyamaimeshuka mnooo mkuu siwaona tunavyochanagnywa changanywa kama mafungu ya nyanya ya dyna'
yaani MTU anahudumiwa anapewa kila kitu lakini wapi sasa sidharau hizo
bora afanyiwe bonge sila action iliiwe fundisho kwa madada wote wenye Tania kama hizo
hata mwanaume anayechukua mke wamtu inapotokea akafumaniwa nakuliwa 0714 kisha akatangazwa mitandaoni .... Huwa inawapa hofu wanaume wengine wakware kuacha ama kupunguza hizo tabia
Hahaha...swali fikirishi....!Uliwezaje kupata password? Hapo nahisi pana ukakasi ni rahisi kupitia account kwa kutumia simu yake pamoja na hivyo ni vigumu kuzipata labda kama alizinote mahali jambo ambalo kwa watu wa leo sidhani
Suala sio kutunga stori ama kutuletea story ya kweli humu.Nitunge stori napata nini humu, we mshikaji vipi..
Una uhakika na hili?Mh!...mkuki kwa nguruwe....
Wewe unavyokuwaga na wawili wawili unaona poa tu
Unaujua uchungu wa kung'olewa kucha bila ganzi mkuu au nyele kwa kipande cha chupa?Mapenzi ya kibongo usiwekeze moyo wako utajuta, Wekeza nywele Na kucha hata vikikatika vitaota tena.
Tumia akili kuishi Na mwanamke usitumie moyo
hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mrejeshewe uanaume wenu kupitia revenge ya mwanaume mwenzenu mnatia kinyaa wanaume vidole juu aisee
AhaaaaaMmmh ni wewe kweli au umeandikiwa?I wish nikuone wanawake wa design hii ni almost hawapo cku hz,jamaa akikaza buti kakubeba
Umetoka nje kabisa ya nilichokiandikahahaaa
jinga kabisa .mimi bado sijafikwa nahizo drama aise nakama zilinifika haikuwa kwa mwanamke ambaye ninampango wakumuoa
then ngoja nikwambie kitu binaadamu tunatofautiana sisi wengine CV zetu zamahusiano nimbaya tangu tujue kuwa dunia haina usawa ktk mapenzi tuliamua kuwa watu wa pichu mwanzo mwisho tunawabadilisha nakuwachagua kama menu ukinizingua maringo mengi nakuacha tu atakuja mwingine so nyoyo zetu zimekufa ganzi sasa naanzaje kumpenda MTU kiasi hcho mpaka nitamani kumfanyia madrama yote hayo tena mtu mwenyew nidemu tu ambaye sina mipango nae zaidi ya ngono tu Mara nyingi wanaoumizwa nakupelekea kuchukua hatua hizo niwale ambao huwa niwaaminifu mnoo ktk relation zao wao hawanaga mipango yakando wakipewa mambo nakudanganywa kidogo wanakufa kabisa
mimi huo ujinga sinaga aisee kwanza huwa siamini kuwa mwanamke niliyenaye eti anaweza kuwa hana bf mwingine huwa sitaki kabisa hizo imani zakilokole
kwanza sikuhizi kati yakundi La wanawake 10 bhasi tambua kuwa 6 wanatoa 0713 naakija kwako kama wewe siomtumiaji wahizo mambo ukiwa nae kwenye game ukikosea tukuingiza ukaingiza nyuma anaruka hatari atajifnya kukumind ile mbaya
wewe kwakuwa niboya hujui kitu unaona daahh demu sindio huyu sasa hahaaaa kumbe anakuletea drama tu kunawajanja wanamla 0713 bila hata yakuomba
kapeace ni shetani tuuu ndio anasababisha ufikirie kulipa kisasi. Then unafaidika na nini after there? Kwanini usishukuru Mungu kwa kukupa taarifa mapema.Eli yupo sahihi namuunga mkono aisee
Usipoweza kusamehe lipa kisasi kisa cha kuishi na magonjwa msongo wa mawazo nyongo ivurugike mwishowe upate stroke hapana roho kutulia ni kulipa kisasi tunaeza tofautian aina za ulipaji maana kuna ishu niliifanya mi sikujua ni kisasi lkn baada ya kufanya vile nilijihisi kutua mzigo kifuani
Hahaa aseme heshima yake imeshuka apambane kuirudisha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa nini usijipambanue wewe kujirudishia heshima ya uanaume wako kuliko kusubiri revenge ya mwanaume mwenzio kuanza kushadadia unatia aibu kinyama