Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Yaan mi mwenyewe kuna mtu hapa ninachokiplan kwakweli hatakuja kukisahau maishani mwake. Labda nife leo.
Acha akae aendelee kujiona mjanja ila dawa yake iko inaandaliwa.
 
Kila mtu ana aina yake ya kuvumilia maumivu ya mapenzi
 
Savin the date...
"crips ndani ya kopo" tafadhali kwa wanao pita mbele ya Tv, wee fanya yote usibadili channel
Kwa dunia ya sasa... huyo bidada waweza kukuta ni member hapa JF anamsoma tu huyu mbwira.

Sitashangaa hata tarehe 7 haijafika huyu jamaa atakuwa kashatendwa kitu asichotarajia.

Mpiganaji mzuri habwabwaji mbinu zake za mashambulizi.

Time will tell
 
Baabu baabu huyo amekuja na pipi waoooooo

Nimekumiss tu shikamooo
 
Nimependi massage ya ....ushauri wako haubadilishi chochote ....ndio uanaume huo
 
Mara paap kibao kinakugukia unazimia mbele ya wakwe
 
Umetoka nje kabisa ya nilichokiandika

Ngoja tusubiri tarehe 7 mrejeshewe hadhi yenu ya kiume mliyoipoteza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] so sad
mimi siwezi kutake revenge kwasababu sijawahi kufanyiwa hizo mambo
sijawahi kuwa namwanamke ambaye ninamatarajio nae yakimisha hapa ni hit & mbio ndefu
so nasema afanye hivyo iliheshima yakiume irejee kwasababu nimekuwa naona wanaume wengi wanalalamika kuwa wanafanyiwa hizo drama so kama wanaolalamika wamekuwa niwengi it means heshima yakiume imetoweka

mimi nitaamua kufanya action mwenyee kama unavyotaka wewe endapo tu ikitokea nikawa na mwanamke ambaye nimemuoa au ninamalengo kama hayo kisha akanifnyia mambo kama aliyofnyiwa mleta uzi
hahaaaa ila kwasasa kazi niliyonayo nikuwahamasisha wanaume wenzangu wote waliofikwa naajali kama hiyo aliyofikwa nayo mleta Uzi wapambane kurejesha heshima yakiume

haya sasa umeridhika kapeace

mwambie shoga yako kabisa hiyo tarehe 7 ajiandae kuzimia mbele ya baba paroko na kadamnasi yote
 
Natamani ningekuwa mshauri wako wa mwisho. ila Ndio umesema hutaki ushauri
 
Nisikilize, sijamlazimisha kuwa namimi wala kuolewa namimi, na tangu mwanzo kabisa kabla hata sijafanya naye chochote nilishamtahadhalisha kama nilivyosema hapo awali, pia tatizo sio yeye kuwa na mwingine, tatizo ni yeye kuwa namimi alafu pia kuwa na mwingine, kama simfai kwanini asiniambie?? Iweje aendelee kupokea hela yangu?? simple tu angenambia kuwa ameshindwa ningemuacha tena kiroho safi tu.

Ila kwa alilolifanya, revenge must.......
 
Kusamehe kwa kweli inabid kutoke ndani kabisa, mimi sitaki na siwez..
 
Sijaridhika Bado kushadadia revenge ya mwanaume mwenzenu kwa kusema kwamba anarudisha heshima ya mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…