Hatari tupuNa jamaa anasema amechoka side A anaitaji side B [emoji16] [emoji16] ...alafu wewe ndo unajiandaa kupeleka posa ..[emoji21] [emoji21] [emoji21] Mungu atupe roho ya uvumilivu sisi wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari tupuNa jamaa anasema amechoka side A anaitaji side B [emoji16] [emoji16] ...alafu wewe ndo unajiandaa kupeleka posa ..[emoji21] [emoji21] [emoji21] Mungu atupe roho ya uvumilivu sisi wanaume
Yaan mi mwenyewe kuna mtu hapa ninachokiplan kwakweli hatakuja kukisahau maishani mwake. Labda nife leo.Ngoda,
Katu usichezee moyo wa mtu mwaminifu, never. Watu waaminifu mara nyingi wana revenge mbaya mno. That's going to happen to the lady. Ngoja apate dawa inayomstahili. Watu wanaopendwa na kujaliwa wanakuwa wajinga hawajui thamani ya mapenzi wanayopewa.
Kila mtu ana aina yake ya kuvumilia maumivu ya mapenzikapeace ni shetani tuuu ndio anasababisha ufikirie kulipa kisasi. Then unafaidika na nini after there? Kwanini usishukuru Mungu kwa kukupa taarifa mapema.
Kuna watu yalisha tutokea, tena unalipa hata ada ya chuo mtoto asome mwisho wa siku unaambulia shida ya moyo.
Inapasa tusamehe, then God will offer the the best for us.
Kabisa sasa yeye anakazania revenge ya dume mwenzie eti ndo heshima ya wanaume wote itarudi hahahahahah aiseeHahaa aseme heshima yake imeshuka apambane kuirudisha.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili pigo nimelipenda. Nami ningelifanya kama hilo.Huu ndo uanaume we jamaa kagombee ubunge
Kwa dunia ya sasa... huyo bidada waweza kukuta ni member hapa JF anamsoma tu huyu mbwira.Savin the date...
"crips ndani ya kopo" tafadhali kwa wanao pita mbele ya Tv, wee fanya yote usibadili channel
Baabu baabu huyo amekuja na pipi waooooooKwa dunia ya sasa... huyo bidada waweza kukuta ni member hapa JF anamsoma tu huyu mbwira.
Sitashangaa hata tarehe 7 haijafika huyu jamaa atakuwa kashatendwa kitu asichotarajia.
Mpiganaji mzuri habwabwaji mbinu zake za mashambulizi.
Time will tell
MahabaaBaabu baabu huyo amekuja na pipi waoooooo
Nimekumiss tu shikamooo
Nipogo babu niende wapi mieMahabaa
Hivi upogo?
Basi nakuja pande hizo... niandalie seneneNipogo babu niende wapi mie
mimi siwezi kutake revenge kwasababu sijawahi kufanyiwa hizo mamboUmetoka nje kabisa ya nilichokiandika
Ngoja tusubiri tarehe 7 mrejeshewe hadhi yenu ya kiume mliyoipoteza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] so sad
Karibu sana babu, utazikutaBasi nakuja pande hizo... niandalie senene
so what?Unaujua uchungu wa kung'olewa kucha bila ganzi mkuu au nyele kwa kipande cha chupa?
Usiombe yakakukuta.
Nisikilize, sijamlazimisha kuwa namimi wala kuolewa namimi, na tangu mwanzo kabisa kabla hata sijafanya naye chochote nilishamtahadhalisha kama nilivyosema hapo awali, pia tatizo sio yeye kuwa na mwingine, tatizo ni yeye kuwa namimi alafu pia kuwa na mwingine, kama simfai kwanini asiniambie?? Iweje aendelee kupokea hela yangu?? simple tu angenambia kuwa ameshindwa ningemuacha tena kiroho safi tu.Hasira hasara, hicho unachotaka kukifanya ni ushamba na utoto. Hivi umejiuliza kwanini anafikiria kuwa na mahusiano na mtu mwingine wakati wewe upo? Pamoja na kwamba umeshatangaza na ndoa kabisa!? Ni kwasababu wewe hutoshi, lazima una mapungufu ambayo inabidi aende akayatafute mahali pengine. Huyu si mkeo, hivyo haukupi wewe mamlaka ya kummiliki na kumlipizia kisasi, kama umeshindwa achana naye, tafuta mwingine!
Huyu sio mkeo, umemkuta binti tayari ana maisha yake, wewe hujapewa hati miliki ya kuwa naye yeye milele, kama unampenda na ungependa kuwa naye, zungumza naye kwamba kama kuna nafasi kati yenu kuendelea na mahusiano basi ajirekebishe ili mfungue ukurasa mpya wa maisha na msahau yaliyopita. Na kama bado huwezi kumeza ukweli, basi achana naye, kubali matokeo, kulipiza kisasi haina maana, haitakusaidia na mwisho wa siku atakayeumia ni wewe tu.
Jitazame wewe maana ndiye mwenye tatizo na wala sio huyo mwenzako
Kusamehe kwa kweli inabid kutoke ndani kabisa, mimi sitaki na siwez..kapeace ni shetani tuuu ndio anasababisha ufikirie kulipa kisasi. Then unafaidika na nini after there? Kwanini usishukuru Mungu kwa kukupa taarifa mapema.
Kuna watu yalisha tutokea, tena unalipa hata ada ya chuo mtoto asome mwisho wa siku unaambulia shida ya moyo.
Inapasa tusamehe, then God will offer the the best for us.
Sijaridhika Bado kushadadia revenge ya mwanaume mwenzenu kwa kusema kwamba anarudisha heshima ya mwanaumemimi siwezi kutake revenge kwasababu sijawahi kufanyiwa hizo mambo
sijawahi kuwa namwanamke ambaye ninamatarajio nae yakimisha hapa ni hit & mbio ndefu
so nasema afanye hivyo iliheshima yakiume irejee kwasababu nimekuwa naona wanaume wengi wanalalamika kuwa wanafanyiwa hizo drama so kama wanaolalamika wamekuwa niwengi it means heshima yakiume imetoweka
mimi nitaamua kufanya action mwenyee kama unavyotaka wewe endapo tu ikitokea nikawa na mwanamke ambaye nimemuoa au ninamalengo kama hayo kisha akanifnyia mambo kama aliyofnyiwa mleta uzi
hahaaaa ila kwasasa kazi niliyonayo nikuwahamasisha wanaume wenzangu wote waliofikwa naajali kama hiyo aliyofikwa nayo mleta Uzi wapambane kurejesha heshima yakiume
haya sasa umeridhika kapeace
mwambie shoga yako kabisa hiyo tarehe 7 ajiandae kuzimia mbele ya baba paroko na kadamnasi yote