Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Sijaridhika Bado kushadadia revenge ya mwanaume mwenzenu kwa kusema kwamba anarudisha heshima ya mwanaume
aiseee bhasi itakuwa unayko wewe
wewe nahuyo demu aliyeliwa kisha akapewa 70k mtakuwa wote ndio wale wale subirini tarehe 22 mkaliwe side B huko
hasira zenu unazoleta huku hazitoweza kulizuia tukio LA tarehe 7
halafu kumbuka kuwa hatutaki ushauri
hahaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli tarehe 7 uanaume wako ndo utarudi saiv hauna huo uanaume
 

Hujalazmishwa kutoa hela, umetoa mwenyewe!
 
Kaka hii mission italeta impact mbaya sana kwa bidada. Yaan it is a good move but angalia, kuna uwezekano bidada akajiua
Mkuu unafikiri mchizi atakua na hali gani kwa message hizi.? Huyo mwanamke hakufikiri yote haya kabla hajaanza kucheat.? Jamaa kamgharamia na harusi inaelekea tena haitoshi demu anaenda kutoa jicho (0715)

Hawa ng'ombe huwaga hawaridhikij hata uwape nini.. Wacha afumuliwe tu. Akijiua atajua mwenyewe as long as jamaa karidhika.

Ila kama ni mimi nisingekua na return point yan hiyo moja kwa moja nafumua kwa shangazi zake. *****
 
Sasa haya ndio maamuzi magumu mkuu, sio kuhama mtaa mchana. Nasubiri part two.. kusikia vilio na kupoteza fahamu.
 
Mkuu hapo kuna mawili, kwako kuna faida na hasara.
1. Huyo demu anaweza kujiua kwasababu umepanga kumdhalilisha vibaya mbele ya wazazi na ndg zake. Kama atachukua maamuzi kama hayo ambayo yanawezekana kabisa, hata wewe hautabaki salama kabisa na huenda ukajilaumu sana baadaye.
2. Huenda baada ya hapo akakufanyia revenge moja ya hatari. Yaani unaweza kumdhalilisha halafu baadaye akaingiwa na shetani akakufanyia kitu cha hatari.

NB. Kwa vile hutaki ushauri na huwa hushauriki , hujui huenda Mungu anampango wa kukuepusha na balaa. Kwa vile umeshaamua kuachana naye, wewe achana naye tu, hautapungukiwa na kitu wala hautakuwa wa kike.
 
Yah itapendezaa bwana kaka ushauli sikupiii Fanya unachoon uko sahihi ....maana we sindo uliekuwa una hudumia
 
usisite kutuma hayo mazaga zaga mtandao huku na facebook yake kuyaanika hayo maigizo ya 0713- na jf ututmie hizo picha si ameyataka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…