Wewe jamaa wewe una akili sana mkuu nadhani Tz ya viwanda ikikutumia vizuri tutafanikiwa nimecheka sana aiseeMapenzi ya kibongo usiwekeze moyo wako utajuta, Wekeza nywele Na kucha hata vikikatika vitaota tena.
Tumia akili kuishi Na mwanamke usitumie moyo
Asee mkuu umeongea point sana kuna watu huwa hatuwezi kuwa na umiliki wa mtu zaidi ya mmoja.unampa mtu moyo wako Halafu anacheza nao kwa kudhani amekuwin.ukigundua na kuhakikisha bila chenge revenge is the best answer.kunywa soda kwa mangi hapo nakuja kulipa aiseeMm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.
Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi
Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,
Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.
Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,
' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.
Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??
Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.
Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi
Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Mmh usijudge kwa kuangalia upande mmoja mkuu huyu ni mhanga mpe ushauri utakao mpa relief na kumuepusha na adha ya huko segerea.vaa viatu vyakeAndika wosia wako maana segerea itakuhusu au Binti atakufanyia kitu mbaya mara dufu ya unachopanga kumfanyia.
Japo utafanikiwa kwa siku hiyo ila na wewe atakufanyizia tu.
Karma ni mbwa.
Roho ya kisasi ni mbaya saana.
Let her go for the good, then God will give you the best one.
Mmh usijudge kwa kuangalia upande mmoja mkuu huyu ni mhanga mpe ushauri utakao mpa relief na kumuepusha na adha ya huko segerea.vaa viatu vyake
Sumbai kumbe upo? Niliona jana unatajwa tajwa kule kwamba ww ndio mr smart hahahhaha.Hujakubali kujichubguza kujua chanzo cha tatizo. Umekuwa mbinafsi kujiona unatimiza kila kitu. Unadhan mwananke ni pesa na sex tuu?? Ndio unakua umemuweza???
Jitathmini
Ndio mimi,Sumbai kumbe upo? Niliona jana unatajwa tajwa kule kwamba ww ndio mr smart hahahhaha.
Hahah hujanipata bado aiseeeNdio mimi, najuta kukuambukiza na wewe....!
Nakushauri uanze dozi mapema
Hamna bhana, ww hufananii kbs na hizo mamboNdio mimi,
How are you my friend?
Afe tu...Kaka hii mission italeta impact mbaya sana kwa bidada. Yaan it is a good move but angalia, kuna uwezekano bidada akajiua