Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Asee mkuu umeongea point sana kuna watu huwa hatuwezi kuwa na umiliki wa mtu zaidi ya mmoja.unampa mtu moyo wako Halafu anacheza nao kwa kudhani amekuwin.ukigundua na kuhakikisha bila chenge revenge is the best answer.kunywa soda kwa mangi hapo nakuja kulipa aisee
 
Andika wosia wako maana segerea itakuhusu au Binti atakufanyia kitu mbaya mara dufu ya unachopanga kumfanyia.

Japo utafanikiwa kwa siku hiyo ila na wewe atakufanyizia tu.

Karma ni mbwa.
Mmh usijudge kwa kuangalia upande mmoja mkuu huyu ni mhanga mpe ushauri utakao mpa relief na kumuepusha na adha ya huko segerea.vaa viatu vyake
 
Unajua ufanyeje, print hizo picha afu tia ktk bahasha mtume mshenga siku hiyo ya kupeleka barua, ila ka kilo kao usisau katupie humohumo
 
Mmh usijudge kwa kuangalia upande mmoja mkuu huyu ni mhanga mpe ushauri utakao mpa relief na kumuepusha na adha ya huko segerea.vaa viatu vyake

Mkuu,
Kijana wako, alikataa kabisa kuwa hataki ushauri bali ataleta mrejesho baada ya revenge hiyo 7/1/2018.
 
Hujakubali kujichubguza kujua chanzo cha tatizo. Umekuwa mbinafsi kujiona unatimiza kila kitu. Unadhan mwananke ni pesa na sex tuu?? Ndio unakua umemuweza???
Jitathmini
Sumbai kumbe upo? Niliona jana unatajwa tajwa kule kwamba ww ndio mr smart hahahhaha.
 
ONLY REAL MEN DO THIS. Safi sana mkuu, hawa watu si wa kuhurumia kabisa. Kamfanye utakavyo nitagharamia consequences zikitokea.
 
Back
Top Bottom