Asee....Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.
Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi
Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,
Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.
Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,
' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.
Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??
Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.
Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi
Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Hahahha thubutuNtakupata tuuu, nakuapia.
Hahaha
Wahi ulipe mkuuAsee mkuu umeongea point sana kuna watu huwa hatuwezi kuwa na umiliki wa mtu zaidi ya mmoja.unampa mtu moyo wako Halafu anacheza nao kwa kudhani amekuwin.ukigundua na kuhakikisha bila chenge revenge is the best answer.kunywa soda kwa mangi hapo nakuja kulipa aisee
Tupe japo kwa kifupi, tupeane ujuzi wanaume. Mimi nimewahi chat na Mme mwenza ktumia simu ya demu wangu, nikamwita getho night nikijifanya nimesafiri. Akaja, akafungua mlango na kuongoza chumbani kumbe niko ya mlango, nikamfuata nyuma hadi chumbani. Nilichomfanyia hatasahau katika maisha yake.Kaka yangu alishawahi kufanya hivi siku ya harusi yake....[emoji26][emoji22][emoji26][emoji22][emoji22]
Ilikuwa mbaya sanaaaa,sitaki hata kukumbuka kabisaaaa....
Kwani nauli ya dar mpaka shy shingapi???? Nipo sirius ujue...Hahahha thubutu
Hahahah Sumbai umenianza na mm eeeh? Ngoja nipige yowe la kuomba msaada.Kwani nauli ya dar mpaka shy shingapi???? Nipo sirius ujue...
Safi sana nami nimemkubaliHuu ndo uanaume we jamaa kagombee ubunge
Na sifikir kama atafanikiwa coz muhusika akisoma ujumbe huu au mtu yyt wa karibu yake lzm amtonye tu.Hii ingekua siri na mwisho angekuja kumwaga series nzima.Haka ka episode tayar kanaenda kuzima next episode.
Yaani wewe....! Unajua vile nakupendaga tangu siku nyingi sema nashindwa kusema tuu.Hahahah Sumbai umenianza na mm eeeh? Ngoja nipige yowe la kuomba msaada.
Heee bora uendelee kubaki kimya kimya kwanza maana humu tushapewa tahadhali.Yaani wewe....! Unajua vile nakupendaga tangu siku nyingi sema nashindwa kusema tuu.
Sijui lini nitasema.
Hahaha ile tahadhari ya uzushi tuu.Heee bora uendelee kubaki kimya kimya kwanza maana humu tushapewa tahadhali.
Hahahha hapana kbs.Hahaha ile tahadhari ya uzushi tuu.
Acha woga.!!!