Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Kiongoz pima moyo wako uujue usije andaa maumivu mara mbili baadaye we ndo ulishindwa kumuandaa ili ummiliki peke yako labda una kauzembe flan kalikomchepua uyo demu ila pia usimfanyie uo upuuz utamuandalia mazingira magumu unayoweza kuja kuyajutia tena baadaye. Samahan nimekushaur japo hupendag kushauriwa
 
Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Asee....
 
Watu wa aina hii mara nyingi ni wadhaifu sana japo kwa nje wanaonekana wakakamavu. Hawana uwezo wa kuhimili kukosolewa, kuumizwa au kufanyiwa jambo lolote kinyume na matarajio yao. Sasa ukiangalia dunia huwa inaenda kinyume na matarajio ili upambane kupata unachokitaka. Mara nyingi watu kama mleta mada hujiua au kupoteza ramani kutokana na kuelekeza nguvu nyingi kwenye kitu ambacho hakimuongezei hatua moja mbele. Sasa hivi sijui hata kama anawaza kitu kingine zaidi ya kisasi. Dunia haisimami ndugu. Komboa wakti.
 
Asee mkuu umeongea point sana kuna watu huwa hatuwezi kuwa na umiliki wa mtu zaidi ya mmoja.unampa mtu moyo wako Halafu anacheza nao kwa kudhani amekuwin.ukigundua na kuhakikisha bila chenge revenge is the best answer.kunywa soda kwa mangi hapo nakuja kulipa aisee
Wahi ulipe mkuu
 
Kaka yangu alishawahi kufanya hivi siku ya harusi yake....[emoji26][emoji22][emoji26][emoji22][emoji22]
Ilikuwa mbaya sanaaaa,sitaki hata kukumbuka kabisaaaa....
Tupe japo kwa kifupi, tupeane ujuzi wanaume. Mimi nimewahi chat na Mme mwenza ktumia simu ya demu wangu, nikamwita getho night nikijifanya nimesafiri. Akaja, akafungua mlango na kuongoza chumbani kumbe niko ya mlango, nikamfuata nyuma hadi chumbani. Nilichomfanyia hatasahau katika maisha yake.
 
Na sifikir kama atafanikiwa coz muhusika akisoma ujumbe huu au mtu yyt wa karibu yake lzm amtonye tu.Hii ingekua siri na mwisho angekuja kumwaga series nzima.Haka ka episode tayar kanaenda kuzima next episode.

Kweli kabisa
 
Hahaha...ni pale yatakapotimia maneno haya "muosha huoshwa"..tunasubiri mrejesho!
 
Siredi bila picha sawa na nasingi..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
aisee kila kukicha jf inaingiliwa majambozi ya kuchekesha maana hilil nalo ni la kuchekesha ngoja tufurahi akina sie furahia ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom