Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Huyu jamaa ndo atakua role model wangu nkiwa mkubwa

Hamna kuuendekeza upuuzi shubaamit!!
 
Kwani ye ndio wa kwanza kudhurika???
Wengi sana wamedhurika...atapata haki yake mbinguni
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ataipata mbinguni haki yake.
Ni kweli kabisa ataipata mbinguni maana Mungu anajudge kwa haki.

Ikiwa huko mbinguni watu hupata stahiki zao,Je,kulikuwa na haja gani ya yeye kumlipa huyo dada kwa wakati huu tukiwa duniani?
Kwanini asimuachie Mungu tu amlipe huko mbeleni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ndo atakua role model wangu nkiwa mkubwa

Hamna kuuendekeza upuuzi shubaamit!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Mimi sisapoti upuuzi.
Nachukia sana upuuzi na huwa nakararishwa na watu wanaofaya upuuzi.

Lakini kwenye kulipa upuuzi ndipo hapo tunapopishana,,kazi ya kulipa ni ya Mungu,siyo yetu wanadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HUU NDIO UANAUME.

Ungesema uyamalize.kimya kimya..Uongo wake wangeuamin sanaa na wewe ungeonekana mkosaji

UONGO USIUACHR UWE MKUBWA


UBAYA UBAYA

JICHO KWA JICHO


BIG UP MKUUUU MAAMUZI YA KIUME


pengine kuna dada anafanya huu ujinga, hivo basi kwa kusoma hili tukio, kamoyo kake kataanza badilika

Alaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba atapata ajali kweli?..acheni upuuzi"kwa sauti ya mleta mada"

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa hajasema kwamba atapata ajali kweli.
Mimi sijasema kwamba atapata ajali kweli.

Jamaa amesema kwamba maneno huumba
Na mimi nimesema kuwa kusingizia mambo ya ajali si vizuri.

Hakuna sehemu tumesema atapata ama hatapata,acha upuuzi[emoji23][emoji23](in Koroe's voice)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyovyote vile iwavyo

Inabidi alichofanya uyu mwamba kiingizwe kwenye mtaala wetu wanaume vijana wapatiwe misingi ili heshima iwepo mtaani huku

Maana Kuna watu wakiona unampenda basi unaonekana boya sasa tiba yao hao wapuuzi imepatikana huu ushuuda wa jamaa ni mwongozo tosha kabisa tutaelewana tu
 
Halafu ukute wewe ndio yule mwamba ulikuwa ukimchatisha binti wa jamaa kule fb[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke anayetunzwa na mumewe kwa kiasi kikubwa hana haki hata 0.0002 ya kuchepuka..ni either aombe takala au akimbie ndoa ili akafanye kwa kujinafasi huko kwa huyo mwingine..the same applies to wachumba walioko kwenye stage ya mwisho ya kuingia ndoani..ni bora uvunje uchumba.

Mwanaume anayeweza kuvumilia usaliti wa hivi ni mpumbavu.
 
Ningekuwa na roho kama yako ningefurahi sana. Aisee mkuu nakuonea wivu walahi.... Wewe umebarikiwa asee kwenye uanaume umetimia 100%
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo unapingana na maagizo ya Mungu juu ya kisasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa hana budi kuthibitisha umma ujue uchafu wa binti..kama mbele ya watu binti aliambiwa aeleze wazi alikuwa na mahusiano na raia gani akagoma kuwa mkweli vipi kama angembiwa kimya kimya..nani angesadiki kama ni kweli binti mlokole anafanya uhuni huo

Hakuna ambaye angemuamini jamaa kama anasema ukweli..hiyo ndio dawa yake msaliti amefanya kichakani unumuumbua hadharani tena naona kama jamaa ana moyo wa upole sana adhabu zangu ninazotoa kwa huyu mwamba naweza kusema kwangu ni mwanafunzi wa chekechea
 
Cha ajabu mnaotoa haya maneno nyie wenyewe ni wachepukaji wazuri.
Mngekuwa waaminifu kama mtoa mada angalau maneno yenu yangesound ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo binti mlokole na kama kweli ameokoka na Roho mtakatifu yupo ndani,,nafsi ingemshuhudia tu!
Hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa kutoa proof... Mungu huwa anawasuta watu nafsini.

Kwani kama hujafanya kitu na unajua kama unafanya na Mungu anajua hujafanya ila watu wanabisha na kukutuhumu kuwa umefanya..
Ikiwa Mungu mwenyewe anaujua ukweli na anakuamini,kwanini uwajali watu ambao hawaamini ?


Nje ya mada:
Tuhadithie visa vyako mkuu,tuone na tujifunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…