Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wewe unakubaliana na hiyo statement nishatoa mengi sana lakini sijaumba chochote
Hili swali nilikuwa namuuliza Saint Anne maana kawa mbishi sana kwenye huu uzi.Mkuu wewe na kiranga ni ndugu?
hilo niachie mimi na Mungu wangu
Huyu akae namba moja sema angemla tu yule mbuluNapata tabu yule jamaa wa mkaa gunia mbili
Na huyu mwamba nani akae namba moja
Chaliifrancisco Carlos The Jackal
huyu mtoa mada zaidi ya field Marshall yaani anakaza mbunye iko ndani ipo na kanga aisee kama kweli huyu apewe tuzoMimi naona kafanya sawa kabisa. Kajiepusha na mambo mengi. Labda hata binti na wazazi wangekuja kujua kuwa anatembea na rafiki yake na binti wangeweza kudhani labda huyo rafiki yake nae ndio sababu jamaa hataki kusikia kitu. Hiyo ingemletea shida pia huyo rafiki.
Hiyo statement ina ukweli...Kama hujaumba chochote ujue ni huruma za Mungu tu kwamba hatuangamii.na wewe unakubaliana na hiyo statement nishatoa mengi sana lakini sijaumba chochote
Hahaha yani unavyomkosoa jamaa kuwa hajafanya sawa ni sawa na kumtetea huyo mwanamke tu haina tofauti.Nionyeshe nilipomtetea huyo mwanamke.
Ukinionyesha basi nitakuwa tayari kubeba adhabu yoyote mtakayonipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimebisha nini Chief?Hili swali nilikuwa namuuliza Saint Anne maana kawa mbishi sana kwenye huu uzi.
Binafsi naona kama wew ndo Boya.We boya tu
Pamoja na mapungufu yake bora huyo binti hakuolewa na wewe, kama alikumiza wewe iweje uwaumize Hadi ndugu zake, utalipa kwa uliyofanya.
Nionyeshe sehemu nilipomsapoti mwanamke.Hahaha yani unavyomkosoa jamaa kuwa hajafanya sawa ni sawa na kumtetea huyo mwanamke tu haina tofauti.
Ndiyo maana huwa tunamuachia Mungu kisasi maana ni juu yake mwenyewe.hilo niachie mimi na Mungu wangu
Ngoja KOROE mwenyewe aje[emoji1787]Na umemkuta tu huyo demu ni mhuni ila yuko soft hearted mwingine wala asingejali.na hizo drama zako za kupeleka picha kwa wakwe
tena ndo ungeumia balaa!
Ningekua mimi ningekujibu yes nilichepuka na yule ulieona text zake coz nampenda yule sio wewe na afadhali umejua ili tuachane!
Ungenyooka tu!hizo korean drama usijaribu pelekea wengine hutaamin macho yako!
Ameonea dagaa,wakati mapapa yapo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila kuna watu wasingeshindwa kufanya hivyo[emoji23]Ameonea dagaa,wakati mapapa yapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ukiniambia vimaneno kama hivi wala sitishiki.Na umemkuta tu huyo demu ni mhuni ila yuko soft hearted mwingine wala asingejali.na hizo drama zako za kupeleka picha kwa wakwe
tena ndo ungeumia balaa!
Ningekua mimi ningekujibu yes nilichepuka na yule ulieona text zake coz nampenda yule sio wewe na afadhali umejua ili tuachane!
Ungenyooka tu!hizo korean drama usijaribu pelekea wengine hutaamin macho yako!
Wapo,kuna wanawake wamevurugwa mno!ukisema suu nae anasema suu afu anakiwasha!🤣🤣🤣
Shenzii, aya uwe unaimba kwaya, unajulikana ni mlokole, kanisan kwako wanakuamini na wazazi wako wanajua wew ni zaid ya malaika ungejibu hivyo?? ulivyokuwa na akili fupi unadhan mim hamnazo, kila kitu kilikuwa calculated, na km angekuwa mwanamke gume gume km wew ningedili kwa namna nyingine, kikubwa lazima ungeonja joto la jiwe, ingeshindikana psychologically basi physically.Na umemkuta tu huyo demu ni mhuni ila yuko soft hearted mwingine wala asingejali.na hizo drama zako za kupeleka picha kwa wakwe
tena ndo ungeumia balaa!
Ningekua mimi ningekujibu yes nilichepuka na yule ulieona text zake coz nampenda yule sio wewe na afadhali umejua ili tuachane!
Ungenyooka tu!hizo korean drama usijaribu pelekea wengine hutaamin macho yako!