Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Ukimkamata mtu amechepuka,amekusaliti..wewe acha naye tu.
Malipo atalipwa na Mungu


Sent using Jamii Forums mobile app
kuna extent ya kusalitiwa, na pia tuna sema kuna ile sheria ya kusema asiye funzwa na wazazi , basi atafunzwa na wali mwengu. na hii pia ina tumika kama njia ya kupunguza kama sio kutibu hiyo hulka.
kungekuwa hakuna adhabu si wanaume si wanawake, uzinzi ungekuwa nje nje
 
Shenzii, aya uwe unaimba kwaya, unajulikana ni mlokole, kanisan kwako wanakuamini na wazazi wako wanajua wew ni zaid ya malaika ungejibu hivyo?? ulivyokuwa na akili fupi unadhan mim hamnazo, kila kitu kilikuwa calculated, na km angekuwa mwanamke gume gume km wew ningedili kwa namna nyingine, kikubwa lazima ungeonja joto la jiwe, ingeshindikana psychologically basi physically.
What is kwaya?you think its a big deal kwa kila mtu?nakwambia hivi umemuonea huyo tu,hujakutana na makurebembe wewe!
Personally nisingeogopa kwaya wala church,as unaweza hamia pengine maisha yakasonga kama kawa
 
Shenzii, aya uwe unaimba kwaya, unajulikana ni mlokole, kanisan kwako wanakuamini na wazazi wako wanajua wew ni zaid ya malaika ungejibu hivyo?? ulivyokuwa na akili fupi unadhan mim hamnazo, kila kitu kilikuwa calculated, na km angekuwa mwanamke gume gume km wew ningedili kwa namna nyingine, kikubwa lazima ungeonja joto la jiwe, ingeshindikana psychologically basi physically.
Najitolea cement kwenye ujenzi wa sanamu lako

Teach us master[emoji23]
 
Na umemkuta tu huyo demu ni mhuni ila yuko soft hearted mwingine wala asingejali.na hizo drama zako za kupeleka picha kwa wakwe
tena ndo ungeumia balaa!
Ningekua mimi ningekujibu yes nilichepuka na yule ulieona text zake coz nampenda yule sio wewe na afadhali umejua ili tuachane!
Ungenyooka tu!hizo korean drama usijaribu pelekea wengine hutaamin macho yako!
Ungekubali pia kuwa umeliwa 0713 mbele ya wazazi wako sio?

Halafu watu wanafanya calculation kwanza..gumegume linajulikana tu.
 
Shenzii, aya uwe unaimba kwaya, unajulikana ni mlokole, kanisan kwako wanakuamini na wazazi wako wanajua wew ni zaid ya malaika ungejibu hivyo?? ulivyokuwa na akili fupi unadhan mim hamnazo, kila kitu kilikuwa calculated, na km angekuwa mwanamke gume gume km wew ningedili kwa namna nyingine, kikubwa lazima ungeonja joto la jiwe, ingeshindikana psychologically basi physically.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is kwaya?you think its a big deal kwa kila mtu?nakwambia hivi umemuonea huyo tu,hujakutana na makurebembe wewe!
Personally nisingeogopa kwaya wala church,as unaweza hamia pengine maisha yakasonga kama kawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila ni ngumu sana kukubali mbele ya ndugu, lazima ukakasi upate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na umemkuta tu huyo demu ni mhuni ila yuko soft hearted mwingine wala asingejali.na hizo drama zako za kupeleka picha kwa wakwe
tena ndo ungeumia balaa!
Ningekua mimi ningekujibu yes nilichepuka na yule ulieona text zake coz nampenda yule sio wewe na afadhali umejua ili tuachane!
Ungenyooka tu!hizo korean drama usijaribu pelekea wengine hutaamin macho yako!
We muongo ungekuwa usingefanya hivyo?
 
Ungekubali pia kuwa umeliwa 0713 mbele ya wazazi wako sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana ushahidi nimeliwa?nakana kama sio mimi vile,hakuna anaeweza kuamini kila kitu just because jamaa kasema,naweza kuwaambia hizo msg kazitengeneza as yeye ndo hanitaki ila mimi sijawahi fanya hizo mishe!
Yan in short kwa hilo tukio personally ningekua unbreakable!ningesonga mbele afu ndo ningezidi kumuundermine jamaa as ningegundua kumbe alinipenda sana kashindwa kumove on kaona alipize🤣🤣🤣
 
kuna extent ya kusalitiwa, na pia tuna sema kuna ile sheria ya kusema asiye funzwa na wazazi , basi atafunzwa na wali mwengu. na hii pia ina tumika kama njia ya kupunguza kama sio kutibu hiyo hulka.
kungekuwa hakuna adhabu si wanaume si wanawake, uzinzi ungekuwa nje nje
Adhabu ya Mungu pekeyake inatosha .
Usaliti unauma sana,hasa pale unapokuwa mwaminifu kwa mtu lakini kumbe yeye anakuona mjinga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kubali lazima ukatae tena useme we unaimba na kwaya unawezaje kufanya hivyo?hapo inabidi useme jamaa ameedit hizo msg manake ni mtaalam wa mambo hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Ningekuwa mimi nadhani ningekosa majibu.
Kudanganya nacho ni kipaji,,hasa kitu kama kweli kimefanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maumivu ya mapenzi yamewahi kunipata, lakini mimi sikulipiza kisasi niliamua kukaa kimya

Amini usiamini hakuna kisasi kibaya kama kunyamaziwa, yule mwanamke namtazama anavyopambana mpaka namuones huruma, kila kitu kimekwama, ndoa zinagoma mpaka anasema nilimroga
 
Ana ushahidi nimeliwa?nakana kama sio mimi vile,hakuna anaeweza kuamini kila kitu just because jamaa kasema,naweza kuwaambia hizo msg kazitengeneza as yeye ndo hanitaki ila mimi sijawahi fanya hizo mishe!
Yan in short kwa hilo tukio personally ningekua unbreakable!ningesonga mbele afu ndo ningezidi kumuundermine jamaa as ningegundua kumbe alinipenda sana kashindwa kumove on kaona alipize[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa wazazi ni wajinga kiasi hicho?..

Adanganye kusema kuwa unaliwa tigo ili iweje?..nani anayeoa,ni wewe au ni yeye?..kama angekuwa hakutaki asingekosa sababu ya kusingizia.

Kubali kuwa hata kama ungejifanya chizi tayari wewe na wazazi wako mngekuwa tayari mmedhalilishwa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Ningekuwa mimi nadhani ningekosa majibu.
Kudanganya nacho ni kipaji,,hasa kitu kama kweli kimefanyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ningetoa show huyo jamaa mwenyewe angeshangaa,kwanza ningelia nigalegale nimshike miguu nimwambie kama hunitak si ungeniacha tu kirahisi?kwanini unipakazie mie kwaya masta?ningesema kweli mama walokole tuna majaribu mazito,shetani ameona ajiinue,ametangaza vita!angeshangaa hiyo siku nakwambia
 
Sasa wazazi ni wajinga kiasi hicho?..

Adanganye kusema kuwa unaliwa tigo ili iweje?..nani anayeoa,ni wewe au ni yeye?..kama angekuwa hakutaki asingekosa sababu ya kusingizia.

Kubali kuwa hata kama ungejifanya chizi tayari wewe na wazazi wako mngekuwa tayari mmedhalilishwa.




Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni moja,nani ana ushahidi nimeliwa tigo?ana video?just a mere text?come on dude
 
Mwanamke ambaye namuwekea si chini ya laki 2 kila wiki, hiyo sio ya kula wala mavazi, ni vocha na matumizi yake binafsi, gari yake muda wote ina mafuta, nikamfanya kuwa Malkia kuliko mama angu mzazi, anatokea mama mmoja humu anasema mimi katili, katili gani duniani anaweza kufanya mambo km haya niliyomfanyia huyu binti, tamaa zimepita kiasi kila hela anaitaka, haridhiki, elfu 70 sijui laki inamtoa iman, tuweni serious kdg nyie.
Mimi sijui kwa nini nimekuelewa seriously tena!simtetei hata kidogo ingawa yataka moyo kufanya hvyo ila what u did ni sawa kwa mtazamo wako...Cheating inauma na kuumiza
 
Back
Top Bottom