Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

huyu mtoa mada zaidi ya field Marshall yaani anakaza mbunye iko ndani ipo na kanga aisee kama kweli huyu apewe tuzo
 
Na umemkuta tu huyo demu ni mhuni ila yuko soft hearted mwingine wala asingejali.na hizo drama zako za kupeleka picha kwa wakwe
tena ndo ungeumia balaa!
Ningekua mimi ningekujibu yes nilichepuka na yule ulieona text zake coz nampenda yule sio wewe na afadhali umejua ili tuachane!
Ungenyooka tu!hizo korean drama usijaribu pelekea wengine hutaamin macho yako!
 
Ngoja KOROE mwenyewe aje[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ukiniambia vimaneno kama hivi wala sitishiki.
 
Shenzii, aya uwe unaimba kwaya, unajulikana ni mlokole, kanisan kwako wanakuamini na wazazi wako wanajua wew ni zaid ya malaika ungejibu hivyo?? ulivyokuwa na akili fupi unadhan mim hamnazo, kila kitu kilikuwa calculated, na km angekuwa mwanamke gume gume km wew ningedili kwa namna nyingine, kikubwa lazima ungeonja joto la jiwe, ingeshindikana psychologically basi physically.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…