Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Safi sana Mkuu KOROE wewe upo kama 100% ila mimi nimekuzidi kidogo. Mimi ningeshusha na kipigo ili kuweka alama ambayo ataikumbuka milele ningekata hata sikio moja ili kila akijiangalia kwa kioo akumbuke! Ulitakiwa umalize na kipigo cha Mbwa Koko
Loohh!!!
 
Unajidai kusema hvyo ila hujui kuhusu binadam na ndo maana unaongea upuuzi tu, au we ni malaya anaejiuza ndo mana huna staha,
Huwez sema hvyo kwa mtu.uliemtambulisha kwa wazaz wake na huwez kuacha dhahabu kwa kumpamba mtu usiempenda na mwenye familia kama unampenda zaid, na hakuna kibaya zaid kama kukatisjwa ghafla moyo wa furaha, inachanganya moyo ghafla,
Mfano mzr ni kipind mko shule mshamaliza mitihan mmekaa shule wiki mkingojea matokeo mwende hom, ghafla cku ya mwisho kukaa shule mnaambia mmeongezwa wiki
 

Mamamamamamae wewe sasa ndo mwanaume na nusu kama wasemavyo vijana wa istagram
Hard decisions tu k*m*nyok* unathaminiwa unaleta ujuaji tunadeal na wewe jinsi unavyokuja.
 
pole sana mkuu
Tena mtu unayemthamini ujue amechapwa au anachapwa ki lose ball inauma sana
 
Wala usifafanue sana mkuu huyo hajielewi yaani mbele ya wazazi wako,wakwe wajomba shangazi mshenga utasema yes nimechepuka na nilikuwa naenda kutoa tigo kama ni kweli ungesema hivo hata hatua ya kutambulishwa wewe usingeifikia
 

Ni sawa waache wakuite majina ya ajabu sababu hawajui kiasi gani ulininvest kumpa huyo binti furaha

Mjinga mjinga ambaye hata kumpa mwanamke 10k hajawahi lazima akuone katili lakini mwanaume kamili ambaye anasimamia majukumu yake yote kwa mwanamke hawezi kuvumilia udhalilishaji kiasi hicho.Mtu ajitoe kwa yote halafu wewe unawaza kwenda kuf*rwa na mwanaume mwingine ila hali nimekutangazia ndoa tayari!!!!!Hili halivumiliki linahitaji moyo wa kikekike kulivumilia .

Mungu atawasamehe wote kwa wakati wake huyo binti kwa ungese wake na wewe kwa ungese wako ila kwanza kila mtu apate uchungu kwa matendo yake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…