Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

nikaona baba ake anaongea upuuzi..
.hivi bro bill kafika huku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Bill sijamuona


Jamaa anasema alikaza kila sehemu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Binti alifanya ushenzi wa kishenzi,[emoji38][emoji38]
Jamaa atakuwa alisema wewe hunijui wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Kama siyo Muhusika Basi unachotetea siyo sawa katika Wanawake wote waliofuatilia Huu Uzi wewe umekugusa Sana kwa alichokifanya na unaona Ni sawa alichokifanya Mwenzio kutoa tigo ilihali anadanganya uaminifu wa kuolewa. Tigo Ni dhambi na afanye hasitahiri huruma yoyote. Sasa angeolewa angefanyaje kuzuia yatokanayo na utowajo wa tigo
 
Mwanamke anayetembea kinyume na maumbile hapashwi kuonewa huruma Hata akilia machozi ya damu ....Hata hao wazazi waliomuombea msamaha hawafai kuwa wazazi... Mtoto anatolewa bikira ya tigo anakuja muowaji ambaye hajawahi kugusa huko Nyuma eti kitoto Cha kike kinajifanya kuzirai Bora kifee tu kwa Nini hakwenda kwa Huyo aliyekuwa anamfukunyua huko amuowe...kuna msamaha unaoashawa kutolewa kwa mwanamke anayetoa kinyume na maumbile. Ewe mwanamke unayetetea hilo unajua maumivu ya mwanaume kuishi na mwanamke anayetoa kinyume na maumbile
 
Iwe ya kutunga isiwe ya kutunga Lakini Mwanamke yeyote anayetarajia kuolewa na akawa anatoa huko halafu muowaji akawa siyo Muhusika wa utendaji huo uovu hapashwi msamaha wa Aina yoyote ....


Anayetetea ajiweke katika uzazi Mwanao anakuletea mchumba halafu unakuja kujua kuwa Kuna limwanaume limeshamtoa bikira ya Nyuma utakubali kupokea hiyo mahari, utakubali kuhudhuria hiyo harusi, utakubali kumfanyia send-off
 
Ulichokiandika ni kuntu!

Namba 3 nakazia aachane na huyo rafiki wa binti.
 
Hiyo ndo dawa ya msaliti hafai kuwa mama bora kwa kutaka kutoa 0712.
 
Huyo mwanamke ni aibu ya kudhalilishwa kwa matendo yake ndiyo iliyomsumbua sana ndiyo iliyomkondesha na wala si mapenzi aliyonayo kwa mshikaji.

Laiti mshikaji angelimuacha kimya huyo binti asingelimganda hivyo, angelijichukulia naye mwamba jamaa boya na angeendelea na maisha yake bila kuzuzuka kama kawaida.

Uovu wake kuonyeshwa hadharani ndiyo pekee uliyomzuzua kwa sababu ni aibu kubwa sana aliyoyafanya mbele ya wazazi wake na ni matusi pia.
 
Kn wanaume humu hawana tofauti na dada zetu wanaongea upuuzi wameshazoea kupelekeshwa ovyo.
 
Mkuu sisi hatujapinga huyo binti kuachwa,usaliti ni kitu kibaya na sidhani kama kuna mtu anatetea usaliti.
Tunachosema sisi ni namna uliyomuacha.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuelewa ila hii hali imeingia kwenye mlango wa wanaume kuna hali itakuwa ni ngumu kwako kuielewa jinsi wanaume tunavyohisi kwenye hayo mazingira.
 
Unampa laki 2 kwa wiki lakini still akataka kutoa jicho kwa laki 1??...Kuna shida mahali..Uenda alikuwa anahitaji zaidi ya unavyompatia..(Mahitaji & Penzi)
 
Nakuelewa ila hii hali imeingia kwenye mlango wa wanaume kuna hali itakuwa ni ngumu kwako kuielewa jinsi wanaume tunavyohisi kwenye hayo mazingira.
Wewe Sasa umefafanua vizuri na nadhani umenielewa nini nasema.
Kuna watu hawajanielewa na wameishia kunishambulia tu.

Na mimi nimekuelewa,
Sometimes mwanaume anaweza kufanya maamuzi akiwa katika hali ya hasira..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…