Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Watu bado tu wanapinga alichofanya jamaa kuwa co fair rudishen bac muda nyuma mumsaidie yule malaya kabla hayajamkuta.

Nadiliki kusema mtu pekee wa kumfananisha na KOROE ni Zabron Zabron yule wa penzi la Mfungwa jukwaa la burudani full stop...
 
We utakuwa umeshindikana .

Uhuni tu unakusumbua

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Nakwambia mi ningejitetea ila nisingekiri huo uovu mbele ya wazazi
Wanakwambia there is always a way out,
Kwani Yule binti hakujitetea [emoji1787][emoji1787][emoji849]

Unajipa matumizi

Unapigwa shambulizi la ghafla bila kutegemea utapata wapi muda wa kujitetea [emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Wewe motoni [emoji91][emoji91] unaenda!!! Umeshindwa kusamehee
 
Umesoma huu uzi wote lakini? Kwanini unasema ni chai?

Nimesoma original post ila miendelezo ya kwenye links nimekosa muda wa kusoma ,mara nyingi mtu kama anataka kueleza kitu huwa anaandika kwenye post ya kwanza,lakini kuanza jamaa naona ametoa episode kibao ndio nika conclude ni CHAI.
 
Nimesoma original post ila miendelezo ya kwenye links nimekosa muda wa kusoma ,mara nyingi mtu kama anataka kueleza kitu huwa anaandika kwenye post ya kwanza,lakini kuanza jamaa naona ametoa episode kibao ndio nika conclude ni CHAI.
Page ya kwanza ina muendelezo wote
 
Kwa hiyo ssa tunafanyaje Anne[emoji16]
Inuka tumsifu Bwana na Tulitii Neno la Mungu.
Naona watu wanajaribu kunifanyia personal attacks kwa kukadiria tu! mimi naita wapiga ramli..
Nawaambia sibadili mtazamo wangu katika hili,pigeni ramli zote..Mimi sijali.
Ila neno langu ambalo ni la Mungu ndilo nitakalolisimamia.
Rum 12:19

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya tu kwa wengine ila ukifanya kwa dada yangu kumbuka kwenda na maji
 
Hongera kwa msimamo! Forgiveness is for the weak!!! Ni either revenge au kupotezea( ghosting, cutting off). Naona wengine bado wameshikilia mafundisho yao ya sunday school hahaahaaa

Hiyo kupotezea ndio kusamehe yenyewe mkuu...

Hata kwa Mungu, ukimzingua huwa anakupotezea (anakusamehe lakini anakushusha vyeo faster)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…