Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mm ni mwanamke, nimeumia sana pale unapompa MTU moyo wako akauchezea.

Wewe uko kama mm nikimpenda MTU nimemaliza, tamaa zote naweka chini, na kipindi hicho nakutana na visu vikali sana, ila najipa moyo kuwa huyu ni shetani hawezi kumzidi bf wangu, kiukweli na huwa no sitowagi

Wakuu hakuna mwaka niliopata vishawishi kama huu, tiyari nishapata Bf yupo mbali nampenda namuheshimu, yaan utafikiri yupo karibu nami,

Kazi ninayoifanya lazima nikutane na high class people, kwenye lift naenda ofisini ndo ysiseme, nakutana na wanaume balaa ila naajipa moyo kuwa L ni the right person.

Juzi nimeenda kutembelea Wateja( marketing) nilikutana na mkaka baadae ya kumuelezea tunachokifanya nikaondoka kabla sijafika mbali akaniita,

' Dada umeolewa, nikajibu,hapana ila Nina mchumba, akauliza tena " a u sure ni the right person kwako? Nikajibu ndio, akasema " mm Niko kwenye maandalizi ya kutafuta mchumba ambae unataka niwe nae kwenye mahusiano miezi 6 afu nioe kama mambo yataenda sawa, maana kila.kitu nimeshafanya, kama umenidanganya nakupa dk 10 jitafakari unipe no, nikamjibu hapana kaka Nina mchumba, kaondoa ndinga yake kaondoka.

Imagine haya yoteee na mengine ambayo sijasema najibana, kwa ajiri yake Leo MTU akifanyie ujinga??

Sijawahi kucheat nikiwa tiyari kwenye mahusiano mungu ndo shahidi.

Mleta mada revenge 100× MTU kuchezea moyo wako ni ujinga, yaani una full support yangu, kama ni kutafuta petrol mm nakupa kiberit,(kidding) tho usifanye hivi

Go go go gooo trh 7 mrejesho plz
Tayari unaonesha una tamaa na magari.....nyambafu kabisa.
 
Tayari unaonesha una tamaa na magari.....nyambafu kabisa.
Sehem gani nilipotaja nina taka Gari? Au kwa kuwa nimesema nakutana nao kwenye lift? Lifi nilimaanisha ya kupanda gorofani.

Wacha wivu dogo nipende Gari nisipende Gari inakuhusu nini?

Mbona Gari ni ishu ndogo umeishikilia bango?? Kwenye magari hawana Maneno ya kejeri kama yako. Kama VIP na wewe nunua

Mwisho, wacha tu niwe na tamaa ya Gari kwa sababu hata wanaume wanakuja kwangu wote wana magari.
 
Sehem gani nilipotaja nina taka Gari? Au kwa kuwa nimesema nakutana nao kwenye lift? Lifi nilimaanisha ya kupanda gorofani.

Wacha wivu dogo nipende Gari nisipende Gari inakuhusu nini?

Mbona Gari ni ishu ndogo umeishikilia bango?? Kwenye magari hawana Maneno ya kejeri kama yako. Kama VIP na wewe nunua

Mwisho, wacha tu niwe na tamaa ya Gari kwa sababu hata wanaume wanakuja kwangu wote wana magari.
Kwa taarifa yako mimi ndo nilikutongoza kwa ID tofauti na hii nikakugonga na nilikuona tu ulivyoshobokea gari langu. Una bahati unayajua mahaba vinginevyo ningekuaibisha mie.....
 
Kama Namuona Vile asee cjui Itakuwaje Maana Huyo Manzi Namjua. Na Bi mkubwa Wake Kafika Jana From Aru'. Ni Kazuri Kapole flani Na Mtu Wa Chozi Dakika 0 . Let's Wait Kama Jamaa Atatii Kiapo Chake
 
Kwa mwendo huo utalipiza sana visasi. Mwanafa aliwahi kusema "ukitaka wako peke yako basi tengeneza wako"
Alimaanisha ni vigumu kumpata mwaminifu 100%. Ukimpata unaweza kukuta huna hisia nae au ana dosari nyingine ya kukuboa.
Kwa kuwa umesema hutaki ushauri basi endelea kujitaabisha. Watu ka nyinyi huishia kujiua au kuuwa.
Hakuna binadamu anayeweza kuishi bila kushauriwa.
 
Kwa taarifa yako mimi ndo nilikutongoza kwa ID tofauti na hii nikakugonga na nilikuona tu ulivyoshobokea gari langu. Una bahati unayajua mahaba vinginevyo ningekuaibisha mie.....
haha kubali tu lift ulidhani ni ya gari..usikurupuke next time
 
KOROE ,

Hey, its two days to time for a revenge to take off.

Boy, remember this,,,, Karma is a Dog.
 
Kwa taarifa yako mimi ndo nilikutongoza kwa ID tofauti na hii nikakugonga na nilikuona tu ulivyoshobokea gari langu. Una bahati unayajua mahaba vinginevyo ningekuaibisha mie.....
Sijawahi kumruhusu MTU yeye p hata kupeana no wacha ujinga wewe ujikute uko na mm? Yaan hata uje na I'd mpya nakupa makavu huko pm na mchezo unaisha.

Nina bf wangu ananitosha wote wanaoingia pm wananijua sipendagi ujinga mm. Niko muwazi

Kama ulimgonga Dada yako sawa. Una tafuta attention?? Yatakushinda sijawahi kuwasiliana na wahun mkama wewe nje ya pm. Tuheshimiane hunijui sikujui.

Tulia na stress zako za maisha achana na mm, na sio lazima ucoment kwenye comments zangu
 
Kademu kakijinyonga u will regret, hiyo dhambi utawakimbia ndugu zako wote
 
Back
Top Bottom