Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lol.....Aisee mna maneno ya kupoza nyie viumbe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
I know he will let it go.... He wont let his hunger to controll his head.I wish jamaa aghairi anayotaka kuyafanya ambwage kisela tu !
Maskini ya Mungu..laiti huyo mdada angelikua anajua kitakachomtokea kesho....dah....jamaa angekausha tu asitokeee kuliko kwenda kumwaga kila kitu hadharaniCan't wait for tomorrow asee
Ila huyu kaka kama kweli atafanya hayo basi Pasi na shaka tukampime mkojo kwa mkemia mkuu maana huu ni uchochezi wa kiwango cha lamiMaskini ya Mungu..laiti huyo mdada angelikua anajua kitakachomtokea kesho....dah....jamaa angekausha tu asitokeee kuliko kwenda kumwaga kila kitu hadharani
Karma is a bitch.
Husahau tuuu
Duuuu, Gea Habib...Hivi sasa ni saa nane usiku, 7/1/2018..
Mkuu kwani unaenda saa ngapi?