Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada amesema yeye haoni shida kuwa responsible kwa kitakachom backfire. ..hata kufa ye anaona fresh tu.
Ndio kaamua njia yake ya kisasi na ameridhika swaafi kabisa....ndio maana hakutaka maushauri yenu[emoji3]
Easy!!
Ni kweli amesema hivyo,lakini huyo mwanamke anaweza kulipa kisasi kwa namna yoyote ikiwepo hata kumdhuru mwanamke wa mtoa mada ili na yeye akose.
Huoni kama hayo madhara yanaweza wafikia hata wale wasiokuwa na hatia?
Sent using Jamii Forums mobile app