Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Ukisema mwalimu wetu ni shetani unakosea.
Wewe sema mkeo na binti ya Jamaa mwalimu wao ni shetani.

Wanawake waaminifu tupo/wapo.

Tuhadithie kidogo mkuu.
We dada kiukweli kwa muda mchache nloona comments zako humu nachelea kusema
Mwanaume ataekuoa lazima akubali kucheza mdundo wako la sivyo ndoa haitadumu.

Kingine ni vema awe kabila lako.
 
Cockroach... possibly upo below 20 years,
Sawa mkuu nashukuru kama umeona ana michepuko ungepiga kimya tu au ungemuonesha hizo sms mkiwa wawili kwan siku mnatongozana wazaz walikuwepo hadi uwaonyeshe hizo sema umewakuta hao walokole tu wazaz wangu wasumbuke kwa sababu ya utoto nisinge kuacha hata msata kwa mshana Jr ningeenda kama kihuni ningeshindwa tena usije kurudia uhuni huu utakuta familia zingine zimevurugwa kuliko ww
 
Sawa mkuu nashukuru kama umeona ana michepuko ungepiga kimya tu au ungemuonesha hizo sms mkiwa wawili kwan siku mnatongozana wazaz walikuwepo hadi uwaonyeshe hizo sema umewakuta hao walokole tu wazaz wangu wasumbuke kwa sababu ya utoto nisinge kuacha hata msata kwa mshana Jr ningeenda kama kihuni ningeshindwa tena usije kurudia uhuni huu utakuta familia zingine zimevurugwa kuliko ww
Wewe ni Cockroach?
 
TUENDELEE...


Nikaona mambo yasiwe mengi, nikamwambia poa aende akamrudishe rafiki yake kwenye ndoa yake and mimi nitamfkiria kuhusu ombi lake, nilishajua tayari ashakuwa dhaifu kwangu so hawezi kunizid maujanja, hata km anasema uongo bado hauwez kuniathiri maana lazima nimzid akili, kwanza ananipenda kimapenz hivyo tayari yupo kwenye ugonjwa wa akili hawezi kushindana namimi mwenye akili timamu, and nikapanga kabisa kwamba siwezi kuwa naye yule manzi.

Akaenda akamdanganya kwamba nimepata ajali na nina hali mbaya nimekimbizwa India, na kwa jinsi hali ilivyo sijui km nikipona nitabaki na uwezo wa kufanya chochote Kwahiyo akamwambia rafiki yake akakomae tu na ndoa yake, na akaishi na yule mwanaume maana kwangu tena maji yameshamwagika, binti akaona hakuna jinsi akarudi kwa mume wake, jamaa ndo hivyo akampokea maana ndo km anakopatia ridhiki, nasikia kumbe kipindi anakuja huku alikuwa tayari kanasa ujauzito wa mshikaji, ndo huyu rafiki yake akawa ananiambia alikuja kugundua baadaye km ni mjamzito means km mimi ningejichangnya kuwa naye kipind hiki basi ningetupiwa hilo zigo kumbe la mume wake huko.

Japo binti hana amani kwenye ndoa ile so dizain km anapanga mbinu amtoroke aende akaishi maisha yake peke yake. Huyu rafiki yake akaniambia yupo kwenye process ya kutoa ile mimba maana hataki kuzaa na mshkaji wake, then apotee kokote akaishi mwenyewe. By the way hainuhusu hiyo sasa, azae asizae, aishi au aondole anajua yeye.

Maisha yangu yameanza upya na dizain km yule demu karidhika na kuamin kwamba sipo nchini nipo India kwa matibabu, maana baadaye ikanilazimu nibadili tena namba za simu, sasa mtihan ninao kwa huyu rafiki yake maana ananipenda na anataka nitimize ahad maana kazi ameshaifanya. Hadi leo sijamla na sitamla, na hili kwangu ni dogo sana na nitalimaliza tu kirahisi.

Nimepata aman sana na sikumbuki ubaya na maumivu yote aliyonitendea yule binti, nimeridhika kwa hiki.

Yapo mambo mengine nimeyaexclude maana stori ingekuwa ndefu sana, ahsanten kwa kunifuatilia tangu mwaka 2017 hadi leo 2021.

MWISHO,
Aisee, we ni katili. Ivi ingekuwa ndo unafanyiwa ww ungejisikiaje?. Inaelekea ww ni mtu wa visasi na mzito wa kusamehe mtu. Usiwe ivyo na ivunje iyo roho.
 
Huo ni utashi wa mtoa mada
Ila nimeongelea hulka yako ya kujiona uko sawa na mwanaume kila kitu kasoro vikojoleo.
Nionyeshe ambapo nimejiona nipo sawa na mwanaume kwenye kila kitu.
Imani yangu haijanifundisha hivyo...

Ila kwa upande wa dhambi nitakemea bila kujali nani ameifanya.
Siwezi kusapoti uovu mkuu,iwe amefanya mwanaume ama mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu mfikirie huyu jomba pia
IMG-20210517-WA0039.jpg
 
Nionyeshe ambapo nimejiona nipo sawa na mwanaume kwenye kila kitu.
Imani yangu haijanifundisha hivyo...

Ila kwa upande wa dhambi nitakemea bila kujali nani ameifanya.
Siwezi kusapoti uovu mkuu,iwe amefanya mwanaume ama mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa Miss
Twenzetu jukwaa la kimataifa tukasome habari za Gaza
 
Hakuna jambo baya kama kumdhalilisha binadamu mwenzio.. ni mbaya sana.. hii stori ukiisoma kwa utulivu mwanzo mpaka mwisho ni ngumu kuamini kama ni ya kweli..

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Hii imenikumvusha stori mbili za wadau wajf za muda mrefu kidogo

1.kuna mwamba alioa binti ,binti akapata nyumba za urithi ,akaanza piga mishe zake chini kwa chini bila kumshirikisha mwamba matokeo wahuni wakamwotea binti wakambaka na kumlawiti...baada ya hilo tukio jamaa akaanza taratibu za talka...kimbembe kikawa watu wakawa wanafosi jamaa amrudie binti na jamaa akakazaa..jamii nzima ikamwona jamaa katili sana

2.kuna mwamba alisalitiwa na binti aliemsomesha chuo,akamtafutia na kazi jamaa wakawa wanamlia kisela 😂😂..aliposhtuka alipanga kisasi, yeye alimpa binti tour yakuzunguka mbuga nyingi za tz .walipokua huko akamconvise wafanye kinyume na maumbile mwezi mzima 😂😂..ile wanarudi kabla binti hajaingia ndani mwamba akamfungashia kila kilicho chake nakumchana yote binti alikua anamfanyia..

Anaezikumbuka izo thread anitag wajameni
 
Hii imenikumvusha stori mbili za wadau wajf za muda mrefu kidogo

1.kuna mwamba alioa binti ,binti akapata nyumba za urithi ,akaanza piga mishe zake chini kwa chini bila kumshirikisha mwamba matokeo wahuni wakamwotea binti wakambaka na kumlawiti...baada ya hilo tukio jamaa akaanza taratibu za talka...kimbembe kikawa watu wakawa wanafosi jamaa amrudie binti na jamaa akakazaa..jamii nzima ikamwona jamaa katili sana

2.kuna mwamba alisalitiwa na binti aliemsomesha chuo,akamtafutia na kazi jamaa wakawa wanamlia kisela [emoji23][emoji23]..aliposhtuka alipanga kisasi, yeye alimpa binti tour yakuzunguka mbuga nyingi za tz .walipokua huko akamconvise wafanye kinyume na maumbile mwezi mzima [emoji23][emoji23]..ile wanarudi kabla binti hajaingia ndani mwamba akamfungashia kila kilicho chake nakumchana yote binti alikua anamfanyia..

Anaezikumbuka izo thread anitag wajameni
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom