Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Season ya comedy bado inaendeleaChukwu emeka ile season ya comedy naona 2023 ikiwa imefana
Baada ya kumkatibisha Kambole kwa utambulisho wa aina yake (kumvisha taulo)
Naona leo mmeamua mje na Mudathir kuziba gape la Feisali tena kwa mikogo ya bomu kama intro
Kama mwanzo wake ndio hivi aiseee huu mwaka tutashuhudia mengi sana
Tangu apigwe [emoji2772] umekua na adabu! siku hizi hauropokiChukwu emeka ile season ya comedy naona 2023 ikiwa imefana
Baada ya kumkatibisha Kambole kwa utambulisho wa aina yake (kumvisha taulo)
Naona leo mmeamua mje na Mudathir kuziba gape la Feisali tena kwa mikogo ya bomu kama intro
Kama mwanzo wake ndio hivi aiseee huu mwaka tutashuhudia mengi sana
Bado haujasema!Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
Say it again without crying.Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
Kweli kaka?😂Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
Kila nilisoma hii comments na nikiangalia mudatjiri anavyokiwasha kweli kila jambo lipe mdaHawa Utopolo ile timu utadhan Misukule yao ni Wapemba. Timu utadhan ina bond na muungano. Akina Ninja wako pale wanakula Penshen tu sasa wanamleta Mudhathir ili wazibe pengo la Mzanzibar Fei Toto naona Mzee Karume aliacha Wosia wa 50/50 ya Bara na Visiwani
Umesemaa??Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
Unasema!Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
Muhasibu part 2Usajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe
UnasemaaaaaaaaaKama kapatikana bure sio mbaya kwa utopolo, kwao bora wakaongeze mtu benchi.
Mudathir au Majini mliyofungiaKila nilisoma hii comments na nikiangalia mudatjiri anavyokiwasha kweli kila jambo lipe mda
Kila siku anawapigia simu hampokei...nasikia sasa hivi mmempiga blok kabsaaUsajili wa hovyo kufanywa na Yanga baada ya ule wa Yikpe