Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na congoHawa Utopolo ile timu utadhan Misukule yao ni Wapemba. Timu utadhan ina bond na muungano. Akina Ninja wako pale wanakula Penshen tu sasa wanamleta Mudhathir ili wazibe pengo la Mzanzibar Fei Toto naona Mzee Karume aliacha Wosia wa 50/50 ya Bara na Visiwani
Utani tu sasa mbona unapayukaHujui sheria za mpira. Hakuna revenge hapo.
Na hakuna sababu ya revenge, maana Azam hawajaikosea Yanga kitu chochote. Habari za Feisal kusajiliwa na Azam ni tetesi tu. Azam hawajamtambulisha Feisal kama mchezaji wao. Na hawajamtambulisha kwa sababu wanajua madhara ya kufanya hivyo. Na sidhani kama TFF itaruhusu usajili wa Feisal Azam kwa sababu za kisheria.
Kuna mambo ya kisheria katika suala la Feisal ambayo waTanzania wengi wanaoliongelea suala hilo ni weupe hawayajui.
Tukiwaambia Utopolo hamna akili timamu muwe mnaelewa,huyu anayezumgumza hivi dakika moja iliyopita alianzisha uzi kuwa haelewi usajili wa mudathir [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji115][emoji115]Akili nyingi sana.. Kiungo mkata shombo. Ni heri uwe na huyu mpemba muislamu kuliko kuwa na Bigirimana anaye ingia na kutoka kwenye kikosi cha kwanza.
Tanzania hakuna kiungo mkabaji mzawa kama Mudathir Yahaya..
Itoshe kusema viongozi wametumia akili nyingi, waliona huwezi kumwacha Bigirimana wakati huna mtu wa kushika nafasi yake. Ujio wa Mudathir ni ishara tosha Nafasi ya kigeni ya Bigirimana kinakuja Chuma cha pua.
Sasa wakati Yanga wanasajili wachezaji, kuna timu zinaleta wapiga Nyeto. Baada wakigongwa waanze kusingizia bahasha.
Kiungo PUNDA + Kiungo NUNGUNUNGU = Mudathir yaha.. Ukitaka ndio Usipo taka ndio.
Unaumia nini.?Hawa Utopolo ile timu utadhan Misukule yao ni Wapemba. Timu utadhan ina bond na muungano. Akina Ninja wako pale wanakula Penshen tu sasa wanamleta Mudhathir ili wazibe pengo la Mzanzibar Fei Toto naona Mzee Karume aliacha Wosia wa 50/50 ya Bara na Visiwani
Usajili ni bahati nasibu siku zoteSisi mwananchi tumefurahishwa na usajili huu, maana mudathir amekuja kuziba pengo la mzururaji feisal
Brother unajitahidi sana kuwapa elimu ila shida ni umbumbumbu tuRevenge??😂😂
Mchezaji ana miezi 6 toka aachane na azam sa hapo inakuaje revenge?
Kuwa na kibovu sio sababu ya kuchukua kibovu.Sasa simba mnakiungo gani apo kati
Yaani kuna watu ni wajinga mpaka unajiuliza imekuaje ana andika ujinga huuBrother unajitahidi sana kuwapa elimu ila shida ni umbumbumbu tu
Jifunze kuandika kwanza haya mambo mengine sio size yakoEndelea kushuoaza misuli ya kichwa,utaelewa tu
Ntaelewaje ujinga wa kujifurahisha🚮Endelea kushuoaza misuli ya kichwa,utaelewa tu
[emoji1]SHIDA YA KUAGIZA VITU ONLINE UNAAGIZA AKAMINKO UNALETEWA MUDATHIR MABANGE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unakumbuka kipindi Morrison anakuja Yanga alikua hana timu kwa muda wa miezi mingapi??..[emoji1745][emoji144]Revenge??[emoji23][emoji23]
Mchezaji ana miezi 6 toka aachane na azam sa hapo inakuaje revenge?