Revenge: Yanga yamsajili Mudathir Yahya

Revenge: Yanga yamsajili Mudathir Yahya

Hawa Utopolo ile timu utadhan Misukule yao ni Wapemba. Timu utadhan ina bond na muungano. Akina Ninja wako pale wanakula Penshen tu sasa wanamleta Mudhathir ili wazibe pengo la Mzanzibar Fei Toto naona Mzee Karume aliacha Wosia wa 50/50 ya Bara na Visiwani
Na congo
 
Hujui sheria za mpira. Hakuna revenge hapo.

Na hakuna sababu ya revenge, maana Azam hawajaikosea Yanga kitu chochote. Habari za Feisal kusajiliwa na Azam ni tetesi tu. Azam hawajamtambulisha Feisal kama mchezaji wao. Na hawajamtambulisha kwa sababu wanajua madhara ya kufanya hivyo. Na sidhani kama TFF itaruhusu usajili wa Feisal Azam kwa sababu za kisheria.

Kuna mambo ya kisheria katika suala la Feisal ambayo waTanzania wengi wanaoliongelea suala hilo ni weupe hawayajui.
Utani tu sasa mbona unapayuka
 
Akili nyingi sana.. Kiungo mkata shombo. Ni heri uwe na huyu mpemba muislamu kuliko kuwa na Bigirimana anaye ingia na kutoka kwenye kikosi cha kwanza.

Tanzania hakuna kiungo mkabaji mzawa kama Mudathir Yahaya..

Itoshe kusema viongozi wametumia akili nyingi, waliona huwezi kumwacha Bigirimana wakati huna mtu wa kushika nafasi yake. Ujio wa Mudathir ni ishara tosha Nafasi ya kigeni ya Bigirimana kinakuja Chuma cha pua.

Sasa wakati Yanga wanasajili wachezaji, kuna timu zinaleta wapiga Nyeto. Baada wakigongwa waanze kusingizia bahasha.

Kiungo PUNDA + Kiungo NUNGUNUNGU = Mudathir yaha.. Ukitaka ndio Usipo taka ndio.
Tukiwaambia Utopolo hamna akili timamu muwe mnaelewa,huyu anayezumgumza hivi dakika moja iliyopita alianzisha uzi kuwa haelewi usajili wa mudathir [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji115][emoji115]
Screenshot_20230103-172320~2.jpg
 
Hawa Utopolo ile timu utadhan Misukule yao ni Wapemba. Timu utadhan ina bond na muungano. Akina Ninja wako pale wanakula Penshen tu sasa wanamleta Mudhathir ili wazibe pengo la Mzanzibar Fei Toto naona Mzee Karume aliacha Wosia wa 50/50 ya Bara na Visiwani
Unaumia nini.?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Revenge??😂😂
Mchezaji ana miezi 6 toka aachane na azam sa hapo inakuaje revenge?
 
Yanga Mwaka 2022 walikuwa Bora Kwenye Kusajiri, Nilivyoona Tangazo lao leo kuwa Wanatambulisha Mchezaji Nikajua kuna Machine moja Ya Nguvu sanaa Inashukaaa with Reference na walichokifanya 2022.

Nikakumbuka walisema watasajiri only 2/3 players Dirisha hili nikasema Simba Tumekwisha Leo.

Nikaangalia Matangazo yao nikaona Bomu Kubwa linataka kuribuka nikajua Simba Leo hakutakalika na Kocha Wetu tulie mtangaza leo Atazimwa na Usajiri huu wa Yanga. Nikikumbuka Yale Mafunguo nikalinganisha na Bomu nikajua Simba leo tutakoma.

Mwisho wa Siku Anatangazwa Mchezaji alie achwa miezi 6 nyuma, Akiwa na Record Mbovu Alikotoka…. nikasema tuuu “Eeeeeeh”
 
SHIDA YA KUAGIZA VITU ONLINE UNAAGIZA AKAMINKO UNALETEWA MUDATHIR MABANGE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usajili mzuri kwa wazawa,ukiona mtu anatoa povu ujue ni wivu na roho mbaya,hakuna asijejua ubora wa Mdadhiri[emoji123]
 
Back
Top Bottom