Revenue Intelligence Bureau (RIB) suluhisho la upotevu wa mapato ya Serikali

Revenue Intelligence Bureau (RIB) suluhisho la upotevu wa mapato ya Serikali

Naona umekuja na ID yako nyingine ile unepumzisha. Haya kafanye kazi uondokane na maadui wa Taifa ujinga, umaskini na maradhi.
Tushatoka miluzi mingi ya mbwa wasio ng'ata, mtu analala ana amka na ka idea mfano iundwe polisi nyingine ya kufanya msako wa kodi tu iwe na askari waliobobea [emoji23][emoji23][emoji23] non sense .....boresha hao hao askari mlio nao mtaunda taasisi mpya ngapi sasa zifanye kazi ile ile inayofanywa na taasisi nyingine

Sent from my SM-P901 using JamiiForums mobile app
 
Ila ana point kweli huyu mwamba, maana hv ndo tunaweza kuepukana na simcard tax za Mzee Mwigu.

Kwa hio kajamaa kanamaanisha na sisi Tanzania tutakuwa na ka CIA ketu na ka FBI au sio? Ila sisi ni kwenye mambo ya hela.

Sawa, nimekuelewa.
===
REVENUE INTELLIGENCE BUREAU (RIB)
(Kumradhi Mama, naomba niandike kwa lugha za vijana wa mitandaoni) Mama Shikamoo!Mama, ni wazi kuwakatika ulimwengu wa sasaTaifa letu linaendelea kupoteza mapato mengi kila siku. Ni dhahiri pia kuwa Taifa letukwa kila siku linazidi kukosa ubunifu katika kubunivyanzovipyambali mbali vya mapato.Kila sekunde Serikali inapoteza mapato yake badala ya kuingiza mapato yake.

NINI KIFANYIKE?
Kifanyike hivi, Mama. Kiundwe taasisi inayofanya kazi kwa weledi mkubwa na kwa uhuru mkubwa bilakuingiliwakisiasakwa namna yeyote ile. Taasisi hii iitwe REVENUE INTELLIGENCE BUREAU.

KAZI YA YAKE NI NINI?
Kazi yake ni kufanyamambo mawili tu:

1. Kubaini upotevu wa mapato ya Serikali:
Kuhakikisha kuwa usiku na mchana inafanya kazi ya kubaini mianya ya upotevuwa mapato ya Serikali. Yaani, Taasisihili kwa kutumia uwezo wa kiintelijensiaama uwezo wowote uleinapaswa kuhakikisha kuwa inaweza kubaini namna ambavyo Serikali inakoseshwa/inapoteza mapato yake kutokana na shughuli mbali mbali za kiuchumi zinazoendelea hapa nchini. Shughuli hizi za kiuchumi zinaweza kuwa za umma ana za watu binafsi. Mfano mianya ya ukwepaji kodi, ama ukusanyaji wowote ule wa mapato ya Serikali.Shirika hili hufanya kazi saa 24 kwa siku, yaani usiku na mchana.

2. Kubaini/kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa ajili ya Serikali:
Taasisi hii inapaswa kusaidia Serikali kuhakikisha kuwa inabaini vyanzo mbali mbalivipyavya mapato pamoja na ku coordinate na ku exploit vyanzo hivyo vya mapato ili Serikali iweze kujiongezea mapato yakezaidi. Taasisi hii isiwe taasisi ya kuangazia utozaji ushuru, ama ukusanyaji kodi pekee KAMA ILIVYOZOELEKA bali iwe ni taasisi inayoangazia uanzishwaji wa miradi yenye tija ki uchumi kwa nchi na kwa watu wetu.

Katika Dunia ya leo ni muhimu sana kuwepo na taasisi inayojishughulisha moja kwa moja na masuala muhimu kama haya badala ya kuacha mambo haya muhimu mikononimwa wanasiasa ambaohuja na kupotea kutokana na upepo waki siasa.Japokuwa kuna mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ambayo kimsingi hujishughulisha zaidi na ukusanyaji kodi, lakini mamlaka hii bado haijishughulishi kwa mapana yake katika ukusanyaji wa mapato mbali mbali ya Serikali zaidi ya ukusanyaji wa kodi pekee.

Hii ni tofauti na REVENUE INTELLIGENCE BUREAU ambayo yenyewe itakuwa na mamlaka ya kubaini upotevu wa mapato ya Serikali katika kila senti ya Serikali bila kujali kama ni kodi, ushuru ama faini mbali mbali. Na kama haitoshi ina jukumupia la kuhakikisha ya kuwa Serikali inapata vyanzo vingine vipya vya mapato kwa ajili ya Serikalibila kuchonganisha uhusiano wa Serikali na watu wake.

# Suluhu is the legacy of Samia.
# New Tanzania –Tanzania Mpya ya Samia.
Wasalaam,

ONE VOTE COUNTS TANZANIA (IDARA KUU HUDUMA KWA WANANCHI–TANZANIA).Twitter: ovctanzania, Instagram: ovctanzania, Email: ovctanzania@gmail.com SIMU: +255 (0) 785 29 45 45.
Watanzania tunafikiri kuunda taasisi mpya kila siku wakati zilizopo hazifanyi kazi kwa ufanisi.

Aliyefuta SUMATRA sasa hivi TASAC na LATRA wametatua changamoto zilizokuwepo ?
 
What's your stand? Unasema hatuna taasisi km za wenzetu, muda huo huo unasema hakuna haja ya kuanzisha taasisi kama hiyo.
Kwani kwa wenzetu hakuna TRA, sasa why wawe na FBI? Watanzania bado sana ki fikra ndo maana CCM tutaendelea kutawala miaka nenda rudi maana ni hatari mno kuwakabidhi nchi wapinzani waaio na ajenda za kueleweka
Naona sana umuhimu wa kuwa na idara kama hii ambayo itakuwa independent na TRA, Itakayokuwa na uwezo wa kubaini hata madudu yanayofanywa na maofisa wa TRA, pia kuchunguza tuhuma zozote zinafanywa na maofisa wa TRA kupoteza mapato ya serikali, pia kama kuna mbinu zozote zinazofanywa na Wafanyabiashara kukwepa kodi, na pia Ukiangalia kwa umakini uanona kuwa kuwa na kitengo kama hiki ndani ya TRA kutafanya kisiwe independent na Objective, Pia kitalinda interest za watu walio ndani ya TRA na mfumo mzima wa mlipa kodi, mathalani tumeona watendaji wengi wa TRA wakijajilisha muda mfupi mara baada ya kuajiriwa, Hivyo kuwa haja ya Kuwa ni kitu kama hicho, japo Kuna ile idara ya Investigation ndania ya TRA Lakini sioni kama ina impact kubwa kwenye makusanyo.
 
Naona sana umuhimu wa kuwa na idara kama hii ambayo itakuwa independent na TRA, Itakayokuwa na uwezo wa kubaini hata madudu yanayofanywa na maofisa wa TRA, pia kuchunguza tuhuma zozote zinafanywa na maofisa wa TRA kupoteza mapato ya serikali, pia kama kuna mbinu zozote zinazofanywa na Wafanyabiashara kukwepa kodi, na pia Ukiangalia kwa umakini uanona kuwa kuwa na kitengo kama hiki ndani ya TRA kutafanya kisiwe independent na Objective, Pia kitalinda interest za watu walio ndani ya TRA na mfumo mzima wa mlipa kodi, mathalani tumeona watendaji wengi wa TRA wakijajilisha muda mfupi mara baada ya kuajiriwa, Hivyo kuwa haja ya Kuwa ni kitu kama hicho, japo Kuna ile idara ya Investigation ndania ya TRA Lakini sioni kama ina impact kubwa kwenye makusanyo.
Wewe Una akili kubwa SANA. Hata umewaza mbali zaidi na zaidi, na nyie ndo mnatakiwa kuwa kwenye vitengo lkn Kwa bahati mbaya unaweza ukawa hata ajira huna am very sorry for that. Wewe ndo ungetupaisha Taifa letu sana
 
Wewe Una akili kubwa SANA. Hata umewaza mbali zaidi na zaidi, na nyie ndo mnatakiwa kuwa kwenye vitengo lkn Kwa bahati mbaya unaweza ukawa hata ajira huna am very sorry for that. Wewe ndo ukapaisha Taifa letu sana
Ahsante nashukuru.Kwa kweli kazi ninayo Kazi moja kwa 3 na ina impact kubwa.
 
Ahsante nashukuru.Kwa kweli kazi ninayo Kazi moja kwa 3 na ina impact kubwa.
Afadhali, maana tofauti na hapo ingalikuwa ni matumizi mabaya SANA ya rasilimali watu. Endelea kumpiga adui umaskini, ujinga na maradhi. Tutashinda
 
Naona sana umuhimu wa kuwa na idara kama hii ambayo itakuwa independent na TRA, Itakayokuwa na uwezo wa kubaini hata madudu yanayofanywa na maofisa wa TRA, pia kuchunguza tuhuma zozote zinafanywa na maofisa wa TRA kupoteza mapato ya serikali, pia kama kuna mbinu zozote zinazofanywa na Wafanyabiashara kukwepa kodi, na pia Ukiangalia kwa umakini uanona kuwa kuwa na kitengo kama hiki ndani ya TRA kutafanya kisiwe independent na Objective, Pia kitalinda interest za watu walio ndani ya TRA na mfumo mzima wa mlipa kodi, mathalani tumeona watendaji wengi wa TRA wakijajilisha muda mfupi mara baada ya kuajiriwa, Hivyo kuwa haja ya Kuwa ni kitu kama hicho, japo Kuna ile idara ya Investigation ndania ya TRA Lakini sioni kama ina impact kubwa kwenye makusanyo.
Kwa heshima yako tena, naomba ukatoe mchango wako kwenye pdf za jamaa tuone mawazo ya watu yanaonaje. Zote nimebandika Mimi humu
 
Kwahio suluhisho la upotevu wa mapato ya serikali (ambayo mapotevu mengi ni matumizi mabaya na ufujaji) ni kuunda tume / taasisi ambayo nayo itaongeza matumizi ?

Hizo taasisi zilizopo kama hazifanyi kazi kwanini zisivunjwe na kuundwa upya au kuwa replaced..., It's a no brainer upotevu mwingi mbali na wizi ni ufujaji..., na hiyo Taasisi ikiundwa ni wale wale watatoka huku kwenda kule (the only difference ni kuongeza matumizi)
 
Yaani kwamba asitoe mapendekezo? Acha umaskini. Kwani mapendekezo ni lqzima yafanyiwe kazi? Ni hiyari SASA uoga wako ni nini?

Pia yamkini kaona TANZANIA ya miaka 50 mbele huko, wakati ww unaona TANZANIA ya mwaka 2021 so lazima muwe na maono tofauti na usilazimishe Jambo vile uonavyo.

Cha muhimu aendelee kutoa mapendekezo vile awazavyo haizuiliwi serikali ya CCM haizuii mtu kupendekeza
Hivi ukiingia CCM huwa wanawakata vichwa msifikiri ama?.
 
Naona sana umuhimu wa kuwa na idara kama hii ambayo itakuwa independent na TRA, Itakayokuwa na uwezo wa kubaini hata madudu yanayofanywa na maofisa wa TRA, pia kuchunguza tuhuma zozote zinafanywa na maofisa wa TRA kupoteza mapato ya serikali, pia kama kuna mbinu zozote zinazofanywa na Wafanyabiashara kukwepa kodi, na pia Ukiangalia kwa umakini uanona kuwa kuwa na kitengo kama hiki ndani ya TRA kutafanya kisiwe independent na Objective, Pia kitalinda interest za watu walio ndani ya TRA na mfumo mzima wa mlipa kodi, mathalani tumeona watendaji wengi wa TRA wakijajilisha muda mfupi mara baada ya kuajiriwa, Hivyo kuwa haja ya Kuwa ni kitu kama hicho, japo Kuna ile idara ya Investigation ndania ya TRA Lakini sioni kama ina impact kubwa kwenye makusanyo.
Haina impact una takwimu?

mje na Stats kwanza ndo mlaumu jmn
 
Anatengeneza na ka pdf

Sent from my SM-P901 using JamiiForums mobile app
Basi aandike 'Paper' kweli
Hata wenye hizo Taasisi wakisoma waone Yes kuna gap hapa...

mana mtu lazma uje na uchambuzi wa mandate na utendaji wa Taasisi zilizopo na uonyeshe vivid weakness kuwa wameshindwa katika eneo hilo.,ili sasa baada y hapo ndo uje kujistify/kuhalalisha wazo lako na kuonyesha itakuwaje Taasisi mpya unayowaza itakavyofanya na impact/potential yake, Na itawork vipi na Taasisi zilizopo etc etc.,

Sasa bila ku'deduce vizuri utam'convince vipi Mh.Rais?.,

sijui CCM nani huwa anawakata vichwa baadhi ya watu.,i dont get it
 
Nilichobaini kwako ni hiki, na naomba usichukulie km dharau 'that very little thing you know is limiting your perspective' na ndio maana ni vigumu sana kuelewa why the pdf guy didn't think about TRA, TISS and the likes, and I can see his/her point.

Our country is domant kwenye mambo mengi regardless of Uhuru since 1961, lkn what if waliokabidhiwa vitengo wana perspective kama yako? How should we be in the top notch?
" what if waliokabidhiwa vitengo wana perspective kama yako"

well that is "what if" not a reality.
huwez kujua kama you are not within the system.
hizo taasisi ulizozitaja zina vitengo vinavyo deal na financial issues ulizozitaja..

vingi vikiwa vimeanzishwa wakati wa mkapa.

unadhani kuanzisha taasisi mpya ambayo itafanya the same same work ambavyo hivi vitengo vimekuwa vikifanya for years?

My question is why? taasisi mpya itabadilisha nini?
 
Ila ana point kweli huyu mwamba, maana hv ndo tunaweza kuepukana na simcard tax za Mzee Mwigu.

Kwa hio kajamaa kanamaanisha na sisi Tanzania tutakuwa na ka CIA ketu na ka FBI au sio? Ila sisi ni kwenye mambo ya hela.

Sawa, nimekuelewa.
===
REVENUE INTELLIGENCE BUREAU (RIB)
(Kumradhi Mama, naomba niandike kwa lugha za vijana wa mitandaoni) Mama Shikamoo!Mama, ni wazi kuwakatika ulimwengu wa sasaTaifa letu linaendelea kupoteza mapato mengi kila siku. Ni dhahiri pia kuwa Taifa letukwa kila siku linazidi kukosa ubunifu katika kubunivyanzovipyambali mbali vya mapato.Kila sekunde Serikali inapoteza mapato yake badala ya kuingiza mapato yake.

NINI KIFANYIKE?
Kifanyike hivi, Mama. Kiundwe taasisi inayofanya kazi kwa weledi mkubwa na kwa uhuru mkubwa bilakuingiliwakisiasakwa namna yeyote ile. Taasisi hii iitwe REVENUE INTELLIGENCE BUREAU.

KAZI YA YAKE NI NINI?
Kazi yake ni kufanyamambo mawili tu:

1. Kubaini upotevu wa mapato ya Serikali:
Kuhakikisha kuwa usiku na mchana inafanya kazi ya kubaini mianya ya upotevuwa mapato ya Serikali. Yaani, Taasisihili kwa kutumia uwezo wa kiintelijensiaama uwezo wowote uleinapaswa kuhakikisha kuwa inaweza kubaini namna ambavyo Serikali inakoseshwa/inapoteza mapato yake kutokana na shughuli mbali mbali za kiuchumi zinazoendelea hapa nchini. Shughuli hizi za kiuchumi zinaweza kuwa za umma ana za watu binafsi. Mfano mianya ya ukwepaji kodi, ama ukusanyaji wowote ule wa mapato ya Serikali.Shirika hili hufanya kazi saa 24 kwa siku, yaani usiku na mchana.

2. Kubaini/kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa ajili ya Serikali:
Taasisi hii inapaswa kusaidia Serikali kuhakikisha kuwa inabaini vyanzo mbali mbalivipyavya mapato pamoja na ku coordinate na ku exploit vyanzo hivyo vya mapato ili Serikali iweze kujiongezea mapato yakezaidi. Taasisi hii isiwe taasisi ya kuangazia utozaji ushuru, ama ukusanyaji kodi pekee KAMA ILIVYOZOELEKA bali iwe ni taasisi inayoangazia uanzishwaji wa miradi yenye tija ki uchumi kwa nchi na kwa watu wetu.

Katika Dunia ya leo ni muhimu sana kuwepo na taasisi inayojishughulisha moja kwa moja na masuala muhimu kama haya badala ya kuacha mambo haya muhimu mikononimwa wanasiasa ambaohuja na kupotea kutokana na upepo waki siasa.Japokuwa kuna mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) ambayo kimsingi hujishughulisha zaidi na ukusanyaji kodi, lakini mamlaka hii bado haijishughulishi kwa mapana yake katika ukusanyaji wa mapato mbali mbali ya Serikali zaidi ya ukusanyaji wa kodi pekee.

Hii ni tofauti na REVENUE INTELLIGENCE BUREAU ambayo yenyewe itakuwa na mamlaka ya kubaini upotevu wa mapato ya Serikali katika kila senti ya Serikali bila kujali kama ni kodi, ushuru ama faini mbali mbali. Na kama haitoshi ina jukumupia la kuhakikisha ya kuwa Serikali inapata vyanzo vingine vipya vya mapato kwa ajili ya Serikalibila kuchonganisha uhusiano wa Serikali na watu wake.

# Suluhu is the legacy of Samia.
# New Tanzania –Tanzania Mpya ya Samia.
Wasalaam,

ONE VOTE COUNTS TANZANIA (IDARA KUU HUDUMA KWA WANANCHI–TANZANIA).Twitter: ovctanzania, Instagram: ovctanzania, Email: ovctanzania@gmail.com SIMU: +255 (0) 785 29 45 45.
Mitaasisi miiingi ni sawa na mapaka weeengi wasio kamata mapanya!! kwenda zako mzee!!!.... kalale mzee!!.... umechoka mzee!!
Taasisi zenyewe zimekaa kilaji laji tu!!! haya mambo ya wizi na ufukunyu nyuku... serikali yeyote Dunaiani hayata kaa yaishe kamwe!!!

kwa taarifa yako yalianzia mbinguni ndo maana shetani akawa Muasi wa jumla mpaka leo!!! akitaka kila kitu kiwe kwa mstari!! na sasa hivi yuko kuzimu usidhani Mungu anamchukia km wewe unavodhani tena wale wanapiga story mno!! kisa cha ayubu km unakijua kasome tena!

yote haya ajili ya ugonjwa wa Perfectionism km yako! inakufanya mpaka uhesabu finyango za nyama inapoletwa mezani unamuhesabia kila mwana fmilia....km ungekuwa mbinguni leo wewe ungejiunga na shetani moja kwa moja!!!

Haya yoote unayo yasema na kudhania!!! Jua kuwa hayako ivo!! hiyo kazi hata Waziri mmoja tu anajua ku i trend process nzima ya wizi!! unasikia? hata Baba ndani ya nyumba anajua anapompa Mama hela ya matumizi anapigwa sana!

Watoto wanapopewa matumizi ya shule wanakula cha juu!! Baba anajua vizuri tu siyo mpaka aunde tume!! eti shuleni nimepoteza Bunsen burner!! na test tube set kumi!!! wananitaka nilipe bila hivyo nisirudi baba anajua vyema ni uongo tena mno!
 
Back
Top Bottom