Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kama imetoka juzi thread ya nini leo. Poleni sanaRhumba imejifia kama imetoka mwaka juzi. Jipangane na kubana pua kwenu.
Akili finyu hizo mkuu.Baada ya kuona wimbo wa inama wa bwana Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz ukiendelea kusumbua mtaani na kwenye mitandao ya kijamii, kiba akaona isiwe kesi ngoja niuzime huu wimbo kwa kuachia kazi mpya. King kiba akaa chini aka organize na team yake wakashauriana na kufikia mwafaka kuwa Rhumba ndo wimbo pekee ambao utaweza kufifsha kasi ya wimbo wa inama wa Diamond. Pamoja na figisu zote hizo lakini naona lengo lao halijafanaikiwa maana Rhumba ni imejifia kabisa kama imetoka miaka mitatu iliyopita huku inama ikzid kusumbua tu. King kiba tunakushauri uache tu kuimba na hicho kikundi chako cha kwaya, Diamond humuwezi.
Mmebuma, hapa tunawashushua tu na tabia yenu mbaya ya husda. Diamond hamumuwezi.sasa kama imetoka juzi thread ya nini leo. Poleni sana
Kwenye inama umesikia hata tenzi moja yenye kuashiria ngono au unakurupuka tu.
Wewe jamaa hata kumbe haujui namna fasihi Zilivyo tumika mule Kuna matusi kibao yamejaa au hauko vizuri upstairs. ...
Kachoka chuma mboga ---nakapandisha boda boda. ...Chuma mboga ni dog style(au kujikunja kama saba) kumpandisha boda boda ni style ya woman on Top. ...
Hivi mlikuja kwa mbio za mwenge au?
bila shaka mavi yanagonga chupi sasa kama unafikia hatua ya kuja kulalamika hapa kuwa hawa vijana wadogo nataka kumshusha mondi, huu ni woga uliopitiliza, vijana hawana hawana hata ngoma tatu tayari ushaanza kuonyesha wasi wasi wako. Pole sana mkuu, nilifikiri labda ungewalinganisha hata na vijana wenzao wanaoanza game kwa sasa, pole sana bila shaka wanawanyima usingiziMmebuma, hapa tunawashushua tu na tabia yenu mbaya ya husda. Diamond hamumuwezi.
Umekurupuka mzee baba mm naongelea inama siongelei tetema mbn kama dishi limeyumba ivi uko poa kwl ww.?
bila shaka mavi yanagonga chupi sasa kama unafikia hatua ya kuja kulalamika hapa kuwa hawa vijana wadogo nataka kumshusha mondi, huu ni woga uliopitiliza, vijana hawana hawana hata ngoma tatu tayari ushaanza kuonyesha wasi wasi wako. Pole sana mkuu, nilifikiri labda ungewalinganisha hata na vijana wenzao wanaoanza game kwa sasa, pole sana bila shaka wanawanyima usingizi
hahaaa wewe wala hunipi shida najua ni wivu tu kisa walimtoa number 1 on trendingNani kalinganisha au kichwa chako box hata huelewi uzi unazungumzia nn maana unaandika shits zisizo na maana yaana unaandika shudu tupu. Soma thread ielewe ndo ureply boya ww.
Inama imekaa no 1 almost one week na ushee.hahaaa wewe wala hunipi shida najua ni wivu tu kisa walimtoa number 1 on trending
Ile gang mwalimu wao ni kijana toka Tz ndo huyo petit afro so isikushangaze sana kucheza wimbo wa kibongoDiamond ni habari nyingine...
Hats nchi za kigeni pamoja na kutoelewa baadhi ya maneno anayoimba wanazipenda mno nyimbo zake..
Juzi I was shocked naingia YouTube nkakumbuka gang moja hivi la teenagers la kudance wanaitwa Petit Afro Gang..nicheki wamecheza wimbo gani mpya nakuta tetema...loh!
Waulize tu watangazaji wa clouds fmhivi
bongo hayuwezi kusifia hadi tuponde upande wa pili
Jamaa kakupiga KO hahahahHahaha bahati yako nyau weee
Jamaa kakupiga KO hahahah
Umeonesha ukomavu mkuu. Big upHahah mtu mzima imenibidi niwe mpole tu dah ...Nyau kweli yule dogo
Umeonesha ukomavu mkuu. Big up
Ahahaha..aste aste mkuu..Taratibu mkuu. Uwe unaenda Aste aste katika kuandika thread
Ndio hivo huyo jamaa wa petit afro ni mtizediMkuu sijajua uraia wake..but naona wanongea French zaidi..
Unaweza kunijuza?