Rhumba ya Kings music imekuja ili kuuzima wimbo wa Inama wa Diamond.

Rhumba ya Kings music imekuja ili kuuzima wimbo wa Inama wa Diamond.

Hakuna kazi ngumu kwenye mziki km kushindana na mond Bora tu wafanye mziki wao bila mashindano kuliko kushindana na yule kiumbe yule Ni habari nyingine wasije wakaumbuka
 
Baada ya kuona wimbo wa inama wa bwana Naseeb Abdul almaarufu Diamond Platnumz ukiendelea kusumbua mtaani na kwenye mitandao ya kijamii, kiba akaona isiwe kesi ngoja niuzime huu wimbo kwa kuachia kazi mpya. King kiba akaa chini aka organize na team yake wakashauriana na kufikia mwafaka kuwa Rhumba ndo wimbo pekee ambao utaweza kufifsha kasi ya wimbo wa inama wa Diamond. Pamoja na figisu zote hizo lakini naona lengo lao halijafanaikiwa maana Rhumba ni imejifia kabisa kama imetoka miaka mitatu iliyopita huku inama ikzid kusumbua tu. King kiba tunakushauri uache tu kuimba na hicho kikundi chako cha kwaya, Diamond humuwezi.
Akili finyu hizo mkuu.
Btw ngoma kali wajati huu ni NO NO NO na Nikomeshe[emoji41]
Ila nox3 country boy salute
 
Wewe jamaa hata kumbe haujui namna fasihi Zilivyo tumika mule Kuna matusi kibao yamejaa au hauko vizuri upstairs. ...

Kachoka chuma mboga ---nakapandisha boda boda. ...Chuma mboga ni dog style(au kujikunja kama saba) kumpandisha boda boda ni style ya woman on Top. ...

Hivi mlikuja kwa mbio za mwenge au?
Kwenye inama umesikia hata tenzi moja yenye kuashiria ngono au unakurupuka tu.
 
Umekurupuka mzee baba mm naongelea inama siongelei tetema mbn kama dishi limeyumba ivi uko poa kwl ww.?
Wewe jamaa hata kumbe haujui namna fasihi Zilivyo tumika mule Kuna matusi kibao yamejaa au hauko vizuri upstairs. ...

Kachoka chuma mboga ---nakapandisha boda boda. ...Chuma mboga ni dog style(au kujikunja kama saba) kumpandisha boda boda ni style ya woman on Top. ...

Hivi mlikuja kwa mbio za mwenge au?
 
Mmebuma, hapa tunawashushua tu na tabia yenu mbaya ya husda. Diamond hamumuwezi.
bila shaka mavi yanagonga chupi sasa kama unafikia hatua ya kuja kulalamika hapa kuwa hawa vijana wadogo nataka kumshusha mondi, huu ni woga uliopitiliza, vijana hawana hawana hata ngoma tatu tayari ushaanza kuonyesha wasi wasi wako. Pole sana mkuu, nilifikiri labda ungewalinganisha hata na vijana wenzao wanaoanza game kwa sasa, pole sana bila shaka wanawanyima usingizi
 
Nani kalinganisha au kichwa chako box hata huelewi uzi unazungumzia nn maana unaandika shits zisizo na maana yaana unaandika shudu tupu. Soma thread ielewe ndo ureply boya ww.
bila shaka mavi yanagonga chupi sasa kama unafikia hatua ya kuja kulalamika hapa kuwa hawa vijana wadogo nataka kumshusha mondi, huu ni woga uliopitiliza, vijana hawana hawana hata ngoma tatu tayari ushaanza kuonyesha wasi wasi wako. Pole sana mkuu, nilifikiri labda ungewalinganisha hata na vijana wenzao wanaoanza game kwa sasa, pole sana bila shaka wanawanyima usingizi
 
Nani kalinganisha au kichwa chako box hata huelewi uzi unazungumzia nn maana unaandika shits zisizo na maana yaana unaandika shudu tupu. Soma thread ielewe ndo ureply boya ww.
hahaaa wewe wala hunipi shida najua ni wivu tu kisa walimtoa number 1 on trending
 
Diamond ni habari nyingine...
Hats nchi za kigeni pamoja na kutoelewa baadhi ya maneno anayoimba wanazipenda mno nyimbo zake..
Juzi I was shocked naingia YouTube nkakumbuka gang moja hivi la teenagers la kudance wanaitwa Petit Afro Gang..nicheki wamecheza wimbo gani mpya nakuta tetema...loh!
Ile gang mwalimu wao ni kijana toka Tz ndo huyo petit afro so isikushangaze sana kucheza wimbo wa kibongo
 
Vip
Wamefanikiwa

Mmoja ya waimbaji wa huo wimbo ni ndugu yangu lakini nilimwambia ndugu huo wimbo wenu ni bokoboko yaani hauna ladha kabisa masikioni
 
Back
Top Bottom