Riadha waahidi Tanzania medali ktk London IAAF World Championship 2017

Riadha waahidi Tanzania medali ktk London IAAF World Championship 2017

Usain Bolt ameshinda mbio za mchujo. Finali 100m Kesho. Live Eurosport1.
 
Wanaridha wa kenya waliposkia Tanzania nzima inatuma wanaridha wanane pekeyake
EZEKIEL-KEMBOI-LAUGHING.jpg

Anyway, Hio picha imepigwa leo, pale JKIA, team Kenya first batch ikifika kupanda ndege

RAYMOND-KIBET.jpg



JULIUS-KIRWA.jpg
jamaa wanacheka yanaonekana meno tu,
Dadeq.
Teeth is the only white Thing in Kenya,
Kenyans are Dark mazee. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
jamaa wanacheka yanaonekana meno tu,
Dadeq.
Teeth is the only white Thing in Kenya,
Kenyans are Dark mazee. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
We may be as dark as the ayam cemani chickens, but we rule the athletics and we are proud of it.
 
Na huko 1950 mlikuwa mnashida kama siku hizi? Huko mlikuwa mnakimbia kihalali na Tanzania na Ethiopia wote walikuwa wanapata medals moja mpaka tatu. Leo kwa boost ya kitu fulani unaona matokeo. Tukimbie ile ya kweli tuone. Magufuli alimwabia Ethiopia PM anaomba Tanzania waka practice Ethiopia, hatukuomba Kenya maana tunajuwa nini kinafanyika Kenya.
Hapa ni wivu tu, baadhi yenyu hamuwezi sikia vizuri mkiona Kenya inafanya vizuri, lazima mtafute kasoro! kibera, njaa, corruption., haibadilishi mazuri ya Kenya.
 
Hapa ni wivu tu, baadhi yenyu hamuwezi sikia vizuri mkiona Kenya inafanya vizuri, lazima mtafute kasoro! kibera, njaa, corruption., haibadilishi mazuri ya Kenya.
Kujiskia vizuri au kutojiskia vizuri hakuwezi kubadilisha matokeo!

Tunachokifanya zaidi ni kuanza kuweka nguvu ambayo ilipotea.
 
Mdada mtanzania yupo uwanjani sasa mbio za mita 10,000
 
Waiting to watch Usain sprinting for the very last time...100m final
 
Waiting to watch Usain sprinting for the very last time...100m final
What a race...although Gatlin has just clinched the win with 9.92 sec

But the crowd wako busy wakimuaga Bolt ambaye kapata bronze with 9.95sec...

Bye bye Usain...
 
Back
Top Bottom