Riba ya 60% access Bank inatisha BOT mpo wapi?

Riba ya 60% access Bank inatisha BOT mpo wapi?

Mkuu hiyo mbona ni kawaida kwa Tanzania, kwa sababu katika huo mkopo wa milioni 5 atarudisha 6,780,000, ambapo sawa sawa na liba ya shilingi 1,780,000!
 
Mkuu kama uko vizuri kwenye mambo haya hebu tusaidie, kwa mfano mtu akikopeshwa 30m kwa riba ya 3% kwa mwezi at reducing balance, marejesho yake yatakuwaje kwa mwaka? Je! Hii riba ina unafuu wowote au ni mauaji? Mkopo unatakiwa urejeshwe ndani ya miezi 12. Hao ni Finca

Mkopo 30 m, riba 3%, on reducing balance, muda miezi 12,,
Marejesho yatakuwa sh 3,007,520.00 kwa @ mwezi,
Jumla malipo yote sh 36,090,034,, Riba pekee sh 6,090,034,
Unafuu au Ughali inategemea vitu vingi, kwa kulinganisha na Bank km CRDB, NMB, NBC, hao wako ghali sana kwani hao niliowataja kwa mtindo huo huo wa Reducing Balanca riba ni 1.5% hadi 2 % @ mwezi,,,,
Pia kwa kulinganisha na MICROFINCE Zingine Finca wanaweza kuwa wa kawaida au nafuu kdg kwani wengi wako 3% hadi 10% on reducing balance kwa mwezi. Yategemea wepesi wa kupata mkopo, kiasi cha mkopo, muda wa kulipa, dhamana, lengo halisi la mkopo n.k.
NI MATUMAINI YANGU KUWA NIMEKUJIBU.
 
Tatizo ni elimu juu ya riba huenda wengi hatuijui ukichukua mkopo kwa miezi mingi riba inaongezeka zaidi.
 
mi sijaona unafuu wowote wa Nmb kwani kuna charge za mkopo 1% ambayo ni mbali na riba alafu afisa mkopo lazima ale 10%
 
Back
Top Bottom