Riba ya zaidi ya bilioni 400 inatokana na Hayati Magufuli kugoma kuwalipa makandarasi kwa takriban miaka mitano

Riba ya zaidi ya bilioni 400 inatokana na Hayati Magufuli kugoma kuwalipa makandarasi kwa takriban miaka mitano

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hii wanaijua vizuri wakandarasi na watoa huduma serikalini. JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano alivyokuwa madarakani hakuwalipa, watu wakafilisika, benki zikauza Mali zao.

Sisi tukawa tunashangilia na kumpamba kwamba ni mzalendo hatujawahi kupata. Uzalendo wake na mapenzi yake makubwa Kwa Taifa, Sasa yanatugharimu bilioni 400 na zaidi, hiyo ni riba tu, bado deni halisi.

JPM, huko uliko, uliowakuta ndio wataamua unapumzika au hupumziki, na wataamua ni kwa amani au laa
 
Hii wanaijua vizuri wakandarasi na watoa huduma serikalini. JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano alivyokuwa madarakani hakuwalipa, watu wakafilisika, benki zikauza Mali zao.

Sisi tukawa tunashangilia na kumpamba kwamba ni mzalendo hatujawahi kupata. Uzalendo wake na mapenzi yake makubwa Kwa Taifa, Sasa yanatugharimu bilioni 400 na zaidi, hiyo ni riba tu, bado deni halisi.

JPM, huko uliko, uliowakuta ndio wataamua unapumzika au hupumziki, na wataamua ni kwa amani au laa
Halafu wewe umekaa kijingajinga sana na umalaya mwingi kama mtoto wa yatima!
 
Hii wanaijua vizuri wakandarasi na watoa huduma serikalini. JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano alivyokuwa madarakani hakuwalipa, watu wakafilisika, benki zikauza Mali zao.

Sisi tukawa tunashangilia na kumpamba kwamba ni mzalendo hatujawahi kupata. Uzalendo wake na mapenzi yake makubwa Kwa Taifa, Sasa yanatugharimu bilioni 400 na zaidi, hiyo ni riba tu, bado deni halisi.

JPM, huko uliko, uliowakuta ndio wataamua unapumzika au hupumziki, na wataamua ni kwa amani au laa
Jpm kafa ila anawasimbua sana .
 
Hii wanaijua vizuri wakandarasi na watoa huduma serikalini. JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano alivyokuwa madarakani hakuwalipa, watu wakafilisika, benki zikauza Mali zao.

Sisi tukawa tunashangilia na kumpamba kwamba ni mzalendo hatujawahi kupata. Uzalendo wake na mapenzi yake makubwa Kwa Taifa, Sasa yanatugharimu bilioni 400 na zaidi, hiyo ni riba tu, bado deni halisi.

JPM, huko uliko, uliowakuta ndio wataamua unapumzika au hupumziki, na wataamua ni kwa amani au laa
Mkuu na bado.
Iko siku serikali itachukuliwa kwa sababu ya ujinga wa CCM kumpa nchi kichaa.
Kuna makesi kibao ya madai yatafunguliwa.
Lisu na wengine walisema wakaonekana wasaliti
 
Hii wanaijua vizuri wakandarasi na watoa huduma serikalini. JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano alivyokuwa madarakani hakuwalipa, watu wakafilisika, benki zikauza Mali zao.

Sisi tukawa tunashangilia na kumpamba kwamba ni mzalendo hatujawahi kupata. Uzalendo wake na mapenzi yake makubwa Kwa Taifa, Sasa yanatugharimu bilioni 400 na zaidi, hiyo ni riba tu, bado deni halisi.

JPM, huko uliko, uliowakuta ndio wataamua unapumzika au hupumziki, na wataamua ni kwa amani au laa
Nyie endeleeni kupiga tu mihela kwa kisingizio Cha kulipa riba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wale wanaosema Symbion au Dowans walipwe ni makosa ya wale walioingia mikataba ya ajabu, au yule aliyesema wasilipwe kutokana na kwamba wanaolipwa wanatuibia au wale baadae waliosema walipwe kutokana na kwamba nao ni wanufaika wa malipo ? (Food for Thought).....

If you ask me The Lunatics are running the Asylum.... (Sio maneno yangu its the old adage)
 
Hii wanaijua vizuri wakandarasi na watoa huduma serikalini. JPM aligoma kuwalipa kwa kisingizio Cha uhakiki, kwa miaka mitano alivyokuwa madarakani hakuwalipa, watu wakafilisika, benki zikauza Mali zao.

Sisi tukawa tunashangilia na kumpamba kwamba ni mzalendo hatujawahi kupata. Uzalendo wake na mapenzi yake makubwa Kwa Taifa, Sasa yanatugharimu bilioni 400 na zaidi, hiyo ni riba tu, bado deni halisi.

JPM, huko uliko, uliowakuta ndio wataamua unapumzika au hupumziki, na wataamua ni kwa amani au laa
Wewe ulitaka alipe tu na asihakiki? Sasa hivi kila kitu kimegeuzwa ati JPM; unaweza kuhakikisha kwa evidence hizo riba zipo kihalali au manipulation ili ziliwe? Maana sasa hivi shamba la bibi linakuwa Zaidi ya zama za Chavda na IPTL au EPA na Singasinga. Yaani miaka miwili haijaisha.
 
Mkuu na bado.
Iko siku serikali itachukuliwa kwa sababu ya ujinga wa CCM kumpa nchi kichaa.
Kuna makesi kibao ya madai yatafunguliwa.
Lisu na wengine walisema wakaonekana wasaliti
Ile ndege iliyoshikiliwa kule uholanzi naskia ni shamba alipora mzungu kule Bagamoyo
 
Wewe ulitaka alipe tu na asihakiki? Sasa hivi kila kitu kimegeuzwa ati JPM; unaweza kuhakikisha kwa evidence hizo riba zipo kihalali au manipulation ili ziliwe? Maana sasa hivi shamba la bibi linakuwa Zaidi ya zama za Chavda na IPTL au EPA na Singasinga. Yaani miaka miwili haijaisha.
Ndiyo uhakiki miaka mi5? Sukuma gang bhana!
 
Ile ndege iliyoshikiliwa kule uholanzi naskia ni shamba alipora mzungu kule Bagamoyo
Ukishaona tu neno 'naskia' ujue huo ni uwongo tayari.Unajua hizo kesi ni za muda gani? Hebu muwe mnachukua muda kujielimisha kabla hamjacoment hapa.
 
Ndiyo uhakiki miaka mi5? Sukuma gang bhana!
Wewe umetoka kutupa matango pori hapo juu ya shamba la Mzungu kuporwa.Tunakuuliza unajua hata muda wa kuendesha hizo kesi mpaka hukumu kutoka?
 
Back
Top Bottom