Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Watoto yatima ni Malaya?Halafu wewe umekaa kijingajinga sana na umalaya mwingi kama mtoto wa yatima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto yatima ni Malaya?Halafu wewe umekaa kijingajinga sana na umalaya mwingi kama mtoto wa yatima!
Shamba aliporwa mzungu? Kwani wazungu wana mashamba bongo?Ile ndege iliyoshikiliwa kule uholanzi naskia ni shamba alipora mzungu kule Bagamoyo
Mm nimesikia nikashea hapa, wewe unaepinga leta facts siyo blah blahUkishaona tu neno 'naskia' ujue huo ni uwongo tayari.Unajua hizo kesi ni za muda gani? Hebu muwe mnachukua muda kujielimisha kabla hamjacoment hapa.
Njaa mbaya sana...Mkuu na bado.
Iko siku serikali itachukuliwa kwa sababu ya ujinga wa CCM kumpa nchi kichaa.
Kuna makesi kibao ya madai yatafunguliwa.
Lisu na wengine walisema wakaonekana wasaliti
Ili na nyinyi pia mpate mgao wenuHAYO MARIBA YALIYOTOKANA NA MIKOPO YA AWAMU YA TANO, AWAMU YA SITA ISIUSIKE NAYO KABISA, ILA KAMA ITAWEZEKANA IWALIPE TU KILE KILICHOKUWA KIKIDAIWA ILI KUWARUDISHIA UWEZO.
Na yaliyotokana na awamu ya 4 atahusika nayo nani? Jpm aliona huu upuuzi wa awamu ya 4 ndomana akazuia malipo kwa maslahi mapana ya taifa. Sasa mmeamua kulipana, mnaweka na riba ili mle vizuri "cha juu"HAYO MARIBA YALIYOTOKANA NA MIKOPO YA AWAMU YA TANO, AWAMU YA SITA ISIUSIKE NAYO KABISA, ILA KAMA ITAWEZEKANA IWALIPE TU KILE KILICHOKUWA KIKIDAIWA ILI KUWARUDISHIA UWEZO.