chotibalula
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 206
- 110
Napata wakati mgumu kuelewa, hizi bank ukienda kuuliza riba ya mkop wa kias flan ni sh ngap.. Wanakujibu kwamba ukichukua kiasi flan let say 13m rejesho lake ni kiasi flan.... Bila kukuambia actual riba. Sasa naomba wenye ufaham zaid kwenye hii issue.