chotibalula
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 206
- 110
Teh mkuu kusoma ule mkataba wa benki na ukauelewa si kazi rahisi.Mbona wanakipa na mkataba kabisa kama ni mtumishi,na mkataba unaonyesha kiasi unachokatwa,
nakuunga mguu, crdb is the best.Mfano me nilichukua mil 10 nakatwa 253,000 kws miaka mitano mkuu so kwenye mkataba inaonekana mwanzo mwenga,ila crdb is the best kwa wote
Inategemea na basic yakoHivi nmb...wanaiopesha hadi milioni 10?
Crdb ni 17% mkuuNapata wakati mgumu kuelewa, hizi bank ukienda kuuliza riba ya mkop wa kias flan ni sh ngap.. Wanakujibu kwamba ukichukua kiasi flan let say 13m rejesho lake ni kiasi flan.... Bila kukuambia actual riba. Sasa naomba wenye ufaham zaid kwenye hii issue.
riba I = PRT/100Mkuu 17% gawanya kwa 12 annually=1.4 ambayo ni monthly. Sasa ukiaza ku calculate mfano umechukua 12m kwa mda 5yrs 12,000,000 x 12/100 =168000 riba ya kwa mwezi. Sasa chukua 12000000/5=2400,000/12=200,000. So riba kwa mwez inakua 200,000 +168000=368,000. Sasa chukua hii hela mara miez 60 kwa maana ya miaka 5. Twende, 368,000 x 60 =22,080,000/=. Jamani si ndo hivi au mm nakosea.
Kwa hiyo kiuhalisia unarufisha mara mbili ya hela uliyochukuariba I = PRT/100
kama R= 17%
p= 12000000
T= 5
12000000x0.17x5= 10200000
riba kwa miaka mitano= 10200000
kwa hiyo ukichukua 12,000,000
riba kwa mwaka 10200000/5=2040000/=
utarudisha hela za watu 22200000/=
kwa miaka mitano