Ricardo Momo, kati ya “story” zako mbili ipi ya ukweli?

Tujiulize kitu kimoja kwanini Ricado aliwahi kuulizwa sana kuhusu Mondi kuliko watangazaji wengine pale wasafi media?

Kuna vitu lazima tuvitazame kwa makini


View attachment 1679323
 
Habari ga 2012
 
Daaaaa...Ricardo momo yan jamaa mtu wa dini zen anatumika kutudanganya watz mchana kweupe.

Anajitahidi kwenye dini ila kwa mke wake bado mtihani anao maana anamuachia sana hasa suala la mavazi.
 
Hivi ni kwa nini vijana wa kiislam hupenda kubadili majina yao yaonekane ya kizungu?
1.Naseeb .......Platnums
2......Ricardo

3.Shaban....Sheby do

4.Ramadhani......Ramsoy

5.Jummane...Jayfour

6.Omari......Omyguy
 
Msizwa atakuwa kamtomba kweli huyo malaika .

Bwana momo atulie kaoa dampo
 
Hivi ni kwa nini vijana wa kiislam hupenda kubadili majina yao yaonekane ya kizungu?
1.Naseeb .......Platnums
2......Ricardo

3.Shaban....Sheby do

4.Ramadhani......Ramsoy

5.Jummane...Jayfour

6.Omari......Omyguy
Ukiona hivyo hawaendani na uislam wenyewe ndio kugeuza jina ndio bora kwao
 
Diamond ni mtoto wa Anko Shamte. Sasa unashangaa nn, mume wa mama yako si ni babako.Au nasema uongo ndugu zangu.
 
Hivi ni kwa nini vijana wa kiislam hupenda kubadili majina yao yaonekane ya kizungu?
1.Naseeb .......Platnums
2......Ricardo

3.Shaban....Sheby do

4.Ramadhani......Ramsoy

5.Jummane...Jayfour

6.Omari......Omyguy
"Ujana una mambo mengi,inafikia kipindi unaweza kugombana hataa na dingi" - Afande sele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…