Inaelekea Mama/Baba Mwenye nyumba wako mtata sana.HABARI WANDUGU
NAPENDA ULIZIA MATUMIZI YA RICE COOKER YA 1.8L , IKIWA INAPIKIWA MCHANA NA USIKU YAANI INATUMIKA MARA 2 KWA SIKU , JE UMEME WA 5000 UTAFAA KWA SIKU 30 ?
AU NI KUBWA SANA , MAANA NAHITAJI SET BUDGET YA KI GHETO GHETO .....
Tatizo ya haya ma pressure cooker yanganguruma kama ma fiat ya zamaniNunua pressure cooker ufurahie maisha. Utapika wali, makande, maharagwe, nyama n.k
6.1 L ni 130k
Kama hauna pressure cooker ndiyo utawaza itatoka topewali hatatoa tope kweli ndugu
inawezekana hata jagi la maji kuchemsha marange nduguKama hauna pressure cooker ndiyo utawaza itatoka tope
Pressure cooker ni zaidi ya rice cooker. Ina option zote za vyakula hadi tambi unapika
Ndiyo nimeitumia kupika wali, umeiva vizuri.
Haina kelele nduguTatizo ya haya ma pressure cooker yanganguruma kama ma fiat ya zamani
Sijui umewaza kwa kutumia nini😀😀😀😀inawezekana hata jagi la maji kuchemsha marange ndugu
upo sawa
Hujawahi kusikia zile kelele za hewa kama ile compressor ya kujaza upepo magari makubwa?Haina kelele ndugu
wewe unavyo mkuuSijui umewaza kwa kutumia nini😀😀😀😀
Nahisi hauna jagi la maji la umeme wala electric pressure cooker.
Ungekuwa navyo usingeandika hicho ulichoandika. Ni bora kukaa kimya😀😀😀😀
Bush Dokta wewe je ?Dogo ulisoma Physics?
natumia dakika 20 , kupika kipunga mkuu vipi units ngapi zinaenda kwa dakika 20 ?Nyingi zina watts 700 izo, kama inapika mara 2 kwa siku tu assume unatumia dakika 45 45 kwa io mara mbili ni lisaa na nusu
700watts*1.5hours unapata 1050watts hapo kwa kwa siku Moja
1050w*30=31500watts=31.5 watts kwa mwezi....
Nilisoma vizuri tuBush Dokta wewe je ?
Iko hivi Dogo, Unit moja ni sawa na Megawatt 1000 used per 1 hour.natumia dakika 20 , kupika kipunga mkuu vipi units ngapi zinaenda kwa dakika 20 ?
Megawati?Iko hivi Dogo, Unit moja ni sawa na Megawatt 1000 used per 1 hour.
Kwa hiyo kama una Device labelled 700watts maana yake ukiiwasha for 1 unatumia 0.7unit ≈ 1unit......so unaweza kuhesabu kama utatumia dakika 20 badlaa ya dakika 60.
Sorry ni WattsMegawati?
Tatizo Bwala la Mwalimu Nyerere limenikaa sana😂😂Megawati?
Pressure cooker ya umeme (multi cooker) inatoa wali mzuri kuliko wa rice cooker. Na ukipata ambayo ni intelligent matumizi ya umeme yanashuka sana...wali hatatoa tope kweli ndugu
multi cooker sawa usinambie Pressure cookePressure cooker ya umeme (multi cooker) inatoa wali mzuri kuliko wa rice cooker. Na ukipata ambayo ni intelligent matumizi ya umeme yanashuka sana...
Unamlisha matango pori huyo kijana. 1KWHr equals 1 unit.Iko hivi Dogo, Unit moja ni sawa na Megawatt 1000 used per 1 hour.
Kwa hiyo kama una Device labelled 700watts maana yake ukiiwasha for 1 unatumia 0.7unit ≈ 1unit......so unaweza kuhesabu kama utatumia dakika 20 badlaa ya dakika 60.
Kwa hesabu hizi bwawa la Nyerere linazalisha unit 2 Kwa siku sio?Iko hivi Dogo, Unit moja ni sawa na Megawatt 1000 used per 1 hour.
Kwa hiyo kama una Device labelled 700watts maana yake ukiiwasha for 1 unatumia 0.7unit ≈ 1unit......so unaweza kuhesabu kama utatumia dakika 20 badlaa ya dakika 60.