Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekuwa limbukeni wangezikamata ngawira zote hiZo ambazo wewe huna.ULIMBUKENI WA FIKRA
Umeona..wanataka kusababisha kaburi lifukuliwe. Na hao walioweka pesa hawajamtendea haki marehemu. Na sidhani aliwaambia wafanye hivyo siku akifa.Ninavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Sasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani
Alooo, kweli kabisa....!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanampa kiingilio kabisa huko atakapoenda asipate shida kuingia