Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Kijiografia Uganda na Kagera (Bukoba) ni sehemu moja.Nyerere tu alilazimisha kuichukua Kagera kutoka Uganda na kuileta Tanganyika.

Idd Amin alikuwa sahihi kuing'ang'ania Kagera...Ili kumfahamu vizuri mtu mweusi wa Afrika,na hasa "MBANTU" wa "Interlacustrine Region" yaani eneo la Banyankole,Buganda na Kagera...Basi pitia tu hata hints za "CULTURAL ANTHROPOLOGY"

Hata Wazungu waliokuja kama Wapelelezi waliliona hili linalofanywa na hawa "Rich Gang Members".Mmisionary alipokuja Tanganyika kutokea Zanzibar,aliruka mikoa yoooote,akaweka makazi kwanza pale "Rubya-Bukoba" kabla ya kwenda sehemu nyingine.Aliisoma vema report ya wale "Explorers"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] vpi tena pesa zimekuvuruga?
 
Umeona..wanataka kusababisha kaburi lifukuliwe. Na hao walioweka pesa hawajamtendea haki marehemu. Na sidhani aliwaambia wafanye hivyo siku akifa.
Kwanini zinaachwa humo humo?.Ni najua watazitoa na kuwapa wafiwa.Sheria za fedha kimataifa kufanya hivyo ni kosa kwa sababu pesa unayomiliki si Mali yako Bali ya serikali hivyo kuna sheria zinazozuia kufanya hivyo yaani kufukia na kuziacha humo.
 
VIDEO YA ZARI AKIGONGA KINYWAJI WAKATI WAKIELEKEA KWENYE MAZISHI YA EX MUME IVAN SEMWENGA.
 
Habari ndg zangu wana Jf.. Katika hali ya kushangaza,ili kauli ya kusema kuwa *utakufa na kuacha pesa zako zote*, leo imevunjwa na matajiri wa kiganda baada ya kuamua kutupia zaidi ya shiling milion 30 za kibongo kwenye kaburi la Raisi wa mataji*RichGang*ivan don kabla ya mwili wake kuzikwa..
Hi ni hali ambayo wengi hawakutarajiwa,
..... Ivan kafa kazikwa na pesa zake.......
c20af5808f1f21040b8a5a94079ce151.jpg


Zote hizo ni mbwembwe, kufa ni kufa tu.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Zinaweza zikawa ni feki tu... Ila kama ni za kweli huo ni upuuzi wa kiwango cha rami na yawezekana pia hizo sio pesa halali.. Si ni bora hizo pesa wangepeleka kwenye any charitable organization kumuenzi boss wao.. Aisee huu ni ujinga wa hali ya juu sana..
Itakuwa ni fakes zilizochapishwa na 3 D printers
 
Mara milioni 10 mara milioni 30 wabongo utafikiri mlikuwepo mkazihesabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila daah watu wanakufuru jamani wewe unatupa hela zikaoze mwingine hana hata hela ya kula daah!
 
uyo ndo alikuwa boss wao
mambo yakipinda ndani ya miezi3 tu watazirudia
 
Hivyo Uganda hakuna Serikali? Hao wote waliomwaga fedha kaburini walipaswa kukamatwa na kushtakiwa mahakamani. Hili ni kosa la jinai. Ni sawa na kuchana fedha hadharani. Maana yake umeziondoa fedha ya serikali katika mzunguko halali wa kiuchumi.
 
Kwa ina nn? Mbona unaongea kwa uchungu hivyo?

Bank inanidai ulipo tupo, bodi inanidai mkopo wa elimu ya juu.

Mtaani nilikopa laki nne niliikopa kwa riba ya laki na ishirini, sasa hivi nalipa hiyo riba tu . Deni bado.alafu nyie mnaitaja 30m
 
Back
Top Bottom