Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] vpi tena pesa zimekuvuruga?Kijiografia Uganda na Kagera (Bukoba) ni sehemu moja.Nyerere tu alilazimisha kuichukua Kagera kutoka Uganda na kuileta Tanganyika.
Idd Amin alikuwa sahihi kuing'ang'ania Kagera...Ili kumfahamu vizuri mtu mweusi wa Afrika,na hasa "MBANTU" wa "Interlacustrine Region" yaani eneo la Banyankole,Buganda na Kagera...Basi pitia tu hata hints za "CULTURAL ANTHROPOLOGY"
Hata Wazungu waliokuja kama Wapelelezi waliliona hili linalofanywa na hawa "Rich Gang Members".Mmisionary alipokuja Tanganyika kutokea Zanzibar,aliruka mikoa yoooote,akaweka makazi kwanza pale "Rubya-Bukoba" kabla ya kwenda sehemu nyingine.Aliisoma vema report ya wale "Explorers"
This is a criminal actKUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya genezaView attachment 516716View attachment 516717View attachment 516718 kuwekwa....!! Ni balaaaaa.....
View attachment 516719
Rich gang members wakimwaga pesa kaburini kama ishara ya kumuaga boss wao
View attachment 516721
Kwanini zinaachwa humo humo?.Ni najua watazitoa na kuwapa wafiwa.Sheria za fedha kimataifa kufanya hivyo ni kosa kwa sababu pesa unayomiliki si Mali yako Bali ya serikali hivyo kuna sheria zinazozuia kufanya hivyo yaani kufukia na kuziacha humo.Umeona..wanataka kusababisha kaburi lifukuliwe. Na hao walioweka pesa hawajamtendea haki marehemu. Na sidhani aliwaambia wafanye hivyo siku akifa.
Habari ndg zangu wana Jf.. Katika hali ya kushangaza,ili kauli ya kusema kuwa *utakufa na kuacha pesa zako zote*, leo imevunjwa na matajiri wa kiganda baada ya kuamua kutupia zaidi ya shiling milion 30 za kibongo kwenye kaburi la Raisi wa mataji*RichGang*ivan don kabla ya mwili wake kuzikwa..
Hi ni hali ambayo wengi hawakutarajiwa,
..... Ivan kafa kazikwa na pesa zake.......![]()
Itakuwa ni fakes zilizochapishwa na 3 D printersZinaweza zikawa ni feki tu... Ila kama ni za kweli huo ni upuuzi wa kiwango cha rami na yawezekana pia hizo sio pesa halali.. Si ni bora hizo pesa wangepeleka kwenye any charitable organization kumuenzi boss wao.. Aisee huu ni ujinga wa hali ya juu sana..
Kwa ina nn? Mbona unaongea kwa uchungu hivyo?